Kuna mabadiliko kidogo katika jeshi la polisi lakini bado wanahitaji kufanya mambo mengi ili wapate heshima katika jamii ya watanzania.
pia ni sababu ya kamanda Siro mkuu wa operation maalum jamaa huyu alitoka mwanza kabla ya kuchukua nafasi ya Tossi ni kamanda bora kuliko wote katika jeshi la polisi na mwenye kutenda haki pia, mambo yake ayaendeshi kisiasa nadhani kama siku akiwa IGP basi jeshi la polisi litapata heshima kwa jamii yote ya kitanzania
Nimeshangazwa na kitendo cha Dr.slaa kulisifia jeshi la polisi kuwa limeanza kuelewa maana ya majukumu yake kwa kutenda haki na kutowapiga wanachadema waliokamatwa kwenye sakata la viwanja vya Arusha. mimi binafsi naona jeshi ili bado linaendesha ukatili kwa wanchama wa vyama vya upinzani kinyume na usemi wa katibu mkuu wa Chadema.
source:twitter akaunti ya Dr slaa
twitter@drwilbroadslaa
kiongozi mkweli siku zote husema ukweli