Kwanini Donald Trump hafai kuwa Rais wa Marekani

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,237
Trump amekua akitoa hotuba ambazo zina maneno makali huku mke wake akithibitisha kuwa mumewe huyo hulala na Kitabu kilichojaa Hotuba za Adolf Hitler na wengi waliomsikiliza watakubaliana na hili ana misimamo ya akina Adolf Hitler katika karne ya 21.

Trump yupo katika Hatihati ya Kunyimwa na nafasi ya kugombea Urais Kupitia Chama cha Republican japokua amekua akivuma kwa Komedi zake Trump ambaye wazi wazi anaonesha Dharau kwa watu wasiojiweza/walemavu, mbaguzi, mdini wafuasi wengi wa Republican wanaona Wakimpa nafasi hiyi huenda wakashindwa Uchaguzi ujao na Kusababisha Democratic kushinda kwa Great margin( utofauti mkubwa).


MFANANO WA ADOLF HITLER NA DONALD TRUMP


Adolf Hitler
1. Alitumia Racism ili apate madaraka
2. Aliweka mpango wa kuwarudisha kwo wasio wajerumani (Mass deportation).
3.Aliahidi kuifanya Ujerumani kuwa taifa kubwa kwa mara nyingine
4.Alikua ni Ant-Jewish fascist
5.Aliwalaumu wayahudi kwa matatizo yalioikabili Ujerumani
6.Alifikiria wayahudi wavae Beji/Vitambulisho Maalum



Donald Trump
1.Anatumia Ubaguzi (Racism) ili apate madaraka
2. Anaandaa mpango wa kuwarudisha kwao wasio wamarekani. (deportation).
3. Anaahidi kufanya marekani iwe taifa kubwa na iheshimiwe kama zamani.
4.Huyu ni Ant-Muslims na anawachukia wazi wazi (fascist)
5. Anawalaumu Wageni/wahamiaji kwa matatizo ya wamarekani
6.Anafikiria Waislam wawe wanavaa I.D/Beji/vitambulisho maalum
 
Kwa wamarekani wenyewe jinsi wanvyo mkubali trump kwa hoja kama hizo ambazo hazima mashiko huwezi kuwashawishi. Waache kumpenda trump
Labda uwadanganyage wajinga wajinga wa humu humu tanzania.
 
wamarekani ndio wanajua nani anafaa na kwa wakati gani.
Hitaji la wamarekani likiwa ni ADOLF HITLER wa karne hii Atachaguliwa.

wanajitambua hao sisi ngoja tuendelee kutumikishwa chini ya mkoroni Mweusi
 
Binafsi japo amenitusi kuwa ni mvivu, napenda ngono na nisie fikiri sana. Namkubali sana. Kwani anasema ukweli mtupu. Japo mimi ni mkristu na napenda sana misimamo yake dhidi ya UKRISTU sikubaliani nae kuwabagua waislam kiasi hicho.
 
binafsi jamaa namuona ana hoja muda mwingine ingawa ndio hivo maneno mengi kwake lakini anapeta TRUMP UKIMSOMA HATA VITABU VYAKE KAMA why we want u to be rich amenyesha msimamo wa dhati kabisa jamaa binafsi namkubali mengine ubinadamu tu
 
Trump amekua akitoa hotuba ambazo zina maneno makali huku mke wake akithibitisha kuwa mumewe huyo hulala na Kitabu kilichojaa Hotuba za Adolf Hitler na wengi waliomsikiliza watakubaliana na hili ana misimamo ya akina Adolf Hitler katika karne ya 21.

Trump yupo katika Hatihati ya Kunyimwa na nafasi ya kugombea Urais Kupitia Chama cha Republican japokua amekua akivuma kwa Komedi zake Trump ambaye wazi wazi anaonesha Dharau kwa watu wasiojiweza/walemavu, mbaguzi, mdini wafuasi wengi wa Republican wanaona Wakimpa nafasi hiyi huenda wakashindwa Uchaguzi ujao na Kusababisha Democratic kushinda kwa Great margin( utofauti mkubwa).


MFANANO WA ADOLF HITLER NA DONALD TRUMP


Adolf Hitler
1. Alitumia Racism ili apate madaraka
2. Aliweka mpango wa kuwarudisha kwo wasio wajerumani (Mass deportation).
3.Aliahidi kuifanya Ujerumani kuwa taifa kubwa kwa mara nyingine
4.Alikua ni Ant-Jewish fascist
5.Aliwalaumu wayahudi kwa matatizo yalioikabili Ujerumani
6.Alifikiria wayahudi wavae Beji/Vitambulisho Maalum



Donald Trump
1.Anatumia Ubaguzi (Racism) ili apate madaraka
2. Anaandaa mpango wa kuwarudisha kwao wasio wamarekani. (deportation).
3. Anaahidi kufanya marekani iwe taifa kubwa na iheshimiwe kama zamani.
4.Huyu ni Ant-Muslims na anawachukia wazi wazi (fascist)
5. Anawalaumu Wageni/wahamiaji kwa matatizo ya wamarekani
6.Anafikiria Waislam wawe wanavaa I.D/Beji/vitambulisho maalum
sababu ya 3 uliyoitoa ndiyo inamfanya Donald Trump akubalike marekani ndo maana hadi sasa yeye ndio anaogoza kwenye midahalo, tena anawapita kwa point nyingi sana wakina Rubio, Cruz, Bush & Carson
 
Halafu nyienyie tena mnataka wazungu wasiwabague, wakati hata nyie wenyewe mnakubali kabisa kuwa ni binadamu tofauti na wazungu.
Kama mnaona weusi wenu ndio sababu yenye kufanya kushindwa kuwa demokrasia sasa kwanini mnajilazimisha?na ndiyo maana kuna watu wanajichubua ili nao wawe weupe.
 
Ya ngoswe (mmarekani) tumwachie ngoswe.Sisi waafrika tuna mengi ya kufanya,,hata Obama watu walisema afadhali mweusi mwenzetu!! Lakini alichotufanyia ni kutuaminisha kuhusu Ushoga sisi weusi,,huyu trump ana faida kwa watakaomchagua tu.
 
Halafu nyienyie tena mnataka wazungu wasiwabague, wakati hata nyie wenyewe mnakubali kabisa kuwa ni binadamu tofauti na wazungu.
Kama mnaona weusi wenu ndio sababu yenye kufanya kushindwa kuwa demokrasia sasa kwanini mnajilazimisha?na ndiyo maana kuna watu wanajichubua ili nao wawe weupe.
Mtu hawezi kudharauliwa asipoanza kujidharau mwenyewe. Waafrika tumejidharau wenyewe hadi wazungu wanatudharau kupita kiasi. kila kitu tunaiga hata visivyofaa, sasa tunaiga tuwe na rangi yao na nywele zao
 
Hillary Clinton is 45th President of US and she will win by great margin kama republican watampa huyo chizi kugombea Urais ameshawatukana akina mama,walemavu, waislam ni mtu ambaye hafai
 
Trump amekua akitoa hotuba ambazo zina maneno makali huku mke wake akithibitisha kuwa mumewe huyo hulala na Kitabu kilichojaa Hotuba za Adolf Hitler na wengi waliomsikiliza watakubaliana na hili ana misimamo ya akina Adolf Hitler katika karne ya 21.

Trump yupo katika Hatihati ya Kunyimwa na nafasi ya kugombea Urais Kupitia Chama cha Republican japokua amekua akivuma kwa Komedi zake Trump ambaye wazi wazi anaonesha Dharau kwa watu wasiojiweza/walemavu, mbaguzi, mdini wafuasi wengi wa Republican wanaona Wakimpa nafasi hiyi huenda wakashindwa Uchaguzi ujao na Kusababisha Democratic kushinda kwa Great margin( utofauti mkubwa).


MFANANO WA ADOLF HITLER NA DONALD TRUMP


Adolf Hitler
1. Alitumia Racism ili apate madaraka
2. Aliweka mpango wa kuwarudisha kwo wasio wajerumani (Mass deportation).
3.Aliahidi kuifanya Ujerumani kuwa taifa kubwa kwa mara nyingine
4.Alikua ni Ant-Jewish fascist
5.Aliwalaumu wayahudi kwa matatizo yalioikabili Ujerumani
6.Alifikiria wayahudi wavae Beji/Vitambulisho Maalum



Donald Trump
1.Anatumia Ubaguzi (Racism) ili apate madaraka
2. Anaandaa mpango wa kuwarudisha kwao wasio wamarekani. (deportation).
3. Anaahidi kufanya marekani iwe taifa kubwa na iheshimiwe kama zamani.
4.Huyu ni Ant-Muslims na anawachukia wazi wazi (fascist)
5. Anawalaumu Wageni/wahamiaji kwa matatizo ya wamarekani
6.Anafikiria Waislam wawe wanavaa I.D/Beji/vitambulisho maalum
Wewe kaa na ujinga na sera za CCM za kuhadaa watu kuhusu kupandikiza chuki. Huyo ndiye raisi hata kama angelala na kitabu cha shetani. Usifikiri wamarekani wanaweza chagua raisi dhaifu kama huyo.
 
Pia Trump anajifurahisha tuu wamarekani siyo chizi kama wewe Umri wa Kupiga kura tuu ni Miaka 21 unataka kutuletea mambo ya Ukawa ya Kuamini Mafuriko?
 
Trump amekua akitoa hotuba ambazo zina maneno makali huku mke wake akithibitisha kuwa mumewe huyo hulala na Kitabu kilichojaa Hotuba za Adolf Hitler na wengi waliomsikiliza watakubaliana na hili ana misimamo ya akina Adolf Hitler katika karne ya 21.

Trump yupo katika Hatihati ya Kunyimwa na nafasi ya kugombea Urais Kupitia Chama cha Republican japokua amekua akivuma kwa Komedi zake Trump ambaye wazi wazi anaonesha Dharau kwa watu wasiojiweza/walemavu, mbaguzi, mdini wafuasi wengi wa Republican wanaona Wakimpa nafasi hiyi huenda wakashindwa Uchaguzi ujao na Kusababisha Democratic kushinda kwa Great margin( utofauti mkubwa).


MFANANO WA ADOLF HITLER NA DONALD TRUMP


Adolf Hitler
1. Alitumia Racism ili apate madaraka
2. Aliweka mpango wa kuwarudisha kwo wasio wajerumani (Mass deportation).
3.Aliahidi kuifanya Ujerumani kuwa taifa kubwa kwa mara nyingine
4.Alikua ni Ant-Jewish fascist
5.Aliwalaumu wayahudi kwa matatizo yalioikabili Ujerumani
6.Alifikiria wayahudi wavae Beji/Vitambulisho Maalum



Donald Trump
1.Anatumia Ubaguzi (Racism) ili apate madaraka
2. Anaandaa mpango wa kuwarudisha kwao wasio wamarekani. (deportation).
3. Anaahidi kufanya marekani iwe taifa kubwa na iheshimiwe kama zamani.
4.Huyu ni Ant-Muslims na anawachukia wazi wazi (fascist)
5. Anawalaumu Wageni/wahamiaji kwa matatizo ya wamarekani
6.Anafikiria Waislam wawe wanavaa I.D/Beji/vitambulisho maalum
Yaani unamfananisha na hitler aliyeshinda huku ukisema yeye trump hashindi unaakili kweli wewe?!
 
Pia Trump anajifurahisha tuu wamarekani siyo chizi kama wewe Umri wa Kupiga kura tuu ni Miaka 21 unataka kutuletea mambo ya Ukawa ya Kuamini Mafuriko?

Mkuu achana na propaganda, bila Hitler German isingekuwa hapo sasa hivi, fuatilia kwa makini utaona ni akina nani walimpa support Hitler hasa kifedha.

Mind control inafanyakazi haswaa, wale wanamiliki kila kitu katika hii Dunia na ndio wanaoamua wewe usikilize nini na uone nini katika wakati upi. Hitler ni shujaa sana, hakuna ubaya wa Donald Trump zaidi ya propaganda tuu zisizo na kichwa wala miguu. Au unaogopa maneno ya Trump, hajakosea na yupo sawa tunapaswa tufanye kazi ili tutoke hapa tulipo.
 
Hillary Clinton is 45th President of US and she will win by great margin kama republican watampa huyo chizi kugombea Urais ameshawatukana akina mama,walemavu, waislam ni mtu ambaye hafai
Hao wote hata wasipompigia kura lakin atashinda tu, kuna jamaa hapa bongo alisema walimu hata wasipompigia kura atatoboa na kweli akatoboa
 
Yaani unamfananisha na hitler aliyeshinda huku ukisema yeye trump hashindi unaakili kweli wewe?!
UkAWA nao Ngoma ngumu anaweza asitoboe hata kwenye chama chake yaani ingekua Bernie Carso Vs Hillary Clinton hapa pangechimbika.Kutokana na wakati tulio nao Sera za akina hitler hazina mashiko tena na siyo Usefu kwa nchi yoyote sera zenye kufanya Nchi kuwa Kisiwa ambayo watu hawawezi kuingia tena.
 
Trump amekua akitoa hotuba ambazo zina maneno makali huku mke wake akithibitisha kuwa mumewe huyo hulala na Kitabu kilichojaa Hotuba za Adolf Hitler na wengi waliomsikiliza watakubaliana na hili ana misimamo ya akina Adolf Hitler katika karne ya 21.

Trump yupo katika Hatihati ya Kunyimwa na nafasi ya kugombea Urais Kupitia Chama cha Republican japokua amekua akivuma kwa Komedi zake Trump ambaye wazi wazi anaonesha Dharau kwa watu wasiojiweza/walemavu, mbaguzi, mdini wafuasi wengi wa Republican wanaona Wakimpa nafasi hiyi huenda wakashindwa Uchaguzi ujao na Kusababisha Democratic kushinda kwa Great margin( utofauti mkubwa).


MFANANO WA ADOLF HITLER NA DONALD TRUMP


Adolf Hitler
1. Alitumia Racism ili apate madaraka
2. Aliweka mpango wa kuwarudisha kwo wasio wajerumani (Mass deportation).
3.Aliahidi kuifanya Ujerumani kuwa taifa kubwa kwa mara nyingine
4.Alikua ni Ant-Jewish fascist
5.Aliwalaumu wayahudi kwa matatizo yalioikabili Ujerumani
6.Alifikiria wayahudi wavae Beji/Vitambulisho Maalum



Donald Trump
1.Anatumia Ubaguzi (Racism) ili apate madaraka
2. Anaandaa mpango wa kuwarudisha kwao wasio wamarekani. (deportation).
3. Anaahidi kufanya marekani iwe taifa kubwa na iheshimiwe kama zamani.
4.Huyu ni Ant-Muslims na anawachukia wazi wazi (fascist)
5. Anawalaumu Wageni/wahamiaji kwa matatizo ya wamarekani
6.Anafikiria Waislam wawe wanavaa I.D/Beji/vitambulisho maalum
Hebu tuwekee na chanzo cha speech za kibaguzi na kidini za Trump. Kwa nini waswahili mmekomaa kucheza ngoma msiyoijua? Wala Trump hayupo katika hayo yote uliyoyasema. Anza kutupatia clip za Trump akisema yote hayo uliyoandika (mfano YouTube au daily motion )
 
Back
Top Bottom