Benki ya CRDB ni moja kati ya benki kubwa hapa nchini. Kitu nisichoelewa kutoka benki hii ni sababu zinazoifanya benki kutangaza gawio kiduchu mara inapoatangaza ukifananisha na banki za ukubwa wake kama NMB?
Je inaweza kuwa ni sababu ya benki kuwa na expenses kubwa ambazo zikipunguzwa wanahisa wanaweza kufaidika zaidi?
Je inaweza kuwa ni sababu ya benki kuwa na expenses kubwa ambazo zikipunguzwa wanahisa wanaweza kufaidika zaidi?