Kwanini China haina Waafrika?

Ila shemeji umetuzalilisha sana
 
Sababu kubwa ni ubaguzi wa rangi na huo ubaguzi wa rangi umesababishwa na akili za mtu mweusi kuonekana ana akili ndogo kulinganisha na race nyingine.
Hata huko Marekani ambapo kuna weusi bado wazungu waoga sana kutengeneza familia na weusi(ambao wao huwaona kama matahira).
Tungekuwa kichwan zimo aloo weusi ni best race kwenye physic na u resistant kwenye magonjwa.
 
swali la hovyo sana, kwa karne hii bado unadhani rangi ya ngozi una correkate na economic apetIte?
 
Ulipaswa uulize kwanini ulaya kuna WaAfrica wengi, unahoji vipi kutokuwepo kwa mtu sehem ambapo si kwao?

Ni sawa na kuuliza kwanini mara hakuna Wanyakyusa?, Sio kwao na hawaoni/hawapati fulsa uko.
Ulipaswa ujiulize kwanini Dar kuna Wahaya wengi? Walitangulia vyuoni na wanafanya kazi maofisini huko.
 
swali la hovyo sana - nape
 
India na Pakistani kuna jamii ya wabantu inaitwa Siddi. Japo siyo wengi lakini wameishi huko kwa muda mrefu sana.
 
Ila shemeji umetuzalilisha sana
Hapana Mkuu, huu ni Ukweli...Wabantu ni tatizo kubwa katika dunia hii...kama wasingekuwepo Wazungu na hao Waasia sisi hata kujiongoza wenyewe tu hatuwezi ndio maana hata sshv mifumo yao ndiyo inayotuongoza

Tazama hata Mainjinia tulionao....wamesoma mpaka 7 years lakini hawawezi kuendesha miradi mikubwa ya barabara na majengo bila Wachina...kwa karne hii yenye kila nyenzo za ujenzi, softwares n.k

Nafuu mara 100 watu weusi wasio wabantu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…