Mbuzimtu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 355
- 178
Jamani kila siku tunasikia mkutano wa CHADEMA kila kona ya nchi. Mbona sioni mikutano kama hiyo jimbo ya Ileje?.
Nipo hapa Isongole watu tunazidi kutamani kuwaona viongozi wa kitaifa wakihutubia mikutano ya hadhara.
Tunaomba msitusahau katika ukombozi wa taifa letu na sisi ni watanzania kama Tunduma walivyo.
Kwa ujumbe huu naomba mtukumbuke kwa ziara.
Nipo hapa Isongole watu tunazidi kutamani kuwaona viongozi wa kitaifa wakihutubia mikutano ya hadhara.
Tunaomba msitusahau katika ukombozi wa taifa letu na sisi ni watanzania kama Tunduma walivyo.
Kwa ujumbe huu naomba mtukumbuke kwa ziara.