Kwanini CHADEMA hawaandamani Moshi?

kwa hiyo watu woote wanaoishi arusha ni waarusha tu sio? Na dar es salaam wanaishi wazaramo peke yao sio? Sasa ninyi endeleeni tu na mawazo kama haya mkidhani kuwa taifa litabaki salama.

tunajua lengo lenu ni kumwaga damu,na waume zenu wamesha sema nchi haitawaliki.lakini kuziba makovu na kuijenga tena taifa, kazi kubwa ngumu na mzito.
 

Moshi hawawezi kupata watu wengi, Ukiishi Moshi ndio utaelewa ninachomaanisha, watu wengi wanahangaika usiku na mchana kutafuta riziki, Ukitembea Moshi mjini huwezi kukuta Vijiwe vijana wamekaa wanapiga porojo za Mademu au Manchester United, au sijui yule bibi Mchawi, hakuna kitu kama hicho vijana wote wanajituma, na Jioni kigiza kikiingia huyoo taratiibu anarudi zake Migombani yuko hoi, halafu wewe uende na Megafoni yako ukamwbie Mtu aandamane hawezi kukuelewa!

 
nenda kwenye youtube tafuta clip inaitwa; Ndesamburo anena, nimeshindwa kui-upload
 
wenye chama ndio kwao hko hawawezi kupiga bomu nyumbani kazi yao kukinukisha mikoa ya wengine
 
Tofauti na mikoa mingine nadhan Jeshi la polisi huko moshi halitumii nguvu kama mikoa mingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…