KWANINI CCM WANATAKA UCHAGUZI KURUDIWA ZANZIBAR?

VIVIANET

JF-Expert Member
Aug 30, 2015
2,129
2,918
UKIFATILIA KWA MAKINI HUWEZI KUPATA KUPATA HOJA HALISI YA WALE WOTE WANAOTAKA KURUDIWA KWA UCHAGUZI,BALI UTASIKIA WAKISEMA UCHAGUZI ULIVURUGWA.TANGU MFUMO WA VYAMA VINGI UANZE TUMESIKIA MARA ZOTE WAPINZANI WAKILALAMIKIA UCHAGUZI KUVURUGWA NA KUTOKUWA HURU NA HAKI,HATA HIVYO HAIJAWAHI KUTOKEA UCHAGUZI KURUDIWA.
KWAHIYO NAFIKIRI CCM WANATAKA UCHAGUZI URUDIWE SI KWAMBA KUNA SABABU YA MSINGI ILA WANAJUA WAZI KUWA WALISHINDWA ILA WANATAKA WALAZIMISHE USHINDI KWA NAMNA YOYOTE ILE.
UNAYEBISHA NJOO NA SABABU ZA MSINGI ZA KURUDIA UCHAGUZI WOTE..MAANA KAMA KUNA MALALAMIKO WAELEZE NI JIMBO LIPI UCHAGUZI ULIVURUGWA ILI WARUDIE UCHAGUZI JIMBO HILO
 
tunataka uchaguzi urudiwe ili uwe wa huruma na hakikisho na ili chaguo la Mungu ambalo ni takatifu liweze kuendelea kuwepo madarakani hadi Yesu ashuke ili ampokee !
 
Nimefuatilia sijaona sababu za msingi isipokuwa nimeona kuwa kuna itaji moja nalo ni TUME HURU YA UCHAGUZI ndio jawabu la swali lako Bara na visiwani. kuna watu wamegombea uwakilishi maeneo yao hakuna hitilafu yeyote walishashinda na kupewa vyeti nao wamefutiwa matokeo kwanini !!!Tanzania mahakama ndio chombo cha mwisho ktk kutoa haki na hawana haki ya kuweza kufuta matokeo huyu mzee jecha amepata uwezo wa kuibua makosa yeye kuwa shahidi wa kesi yake mwenyewe kwa makosa aliyoyaibua halafu akawa jaji wa kuhukumu kesi yake mwenyewe. hakuna kitu kama hicho duniani tunaitaji Tume huru za uchaguzi bara na visiwani na hakuna sababu za kushiriki uchaguzi wowote bila Tume Huru ya Uchaguzi
 
Back
Top Bottom