meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Wadau poleni kwa mihangaiko!
Kuna msemo maarufu hapa nchini ambao pengine unatokana na muziki wa wagosi wa Kaya unasema "TANGA KUNANI PALE"
Nami nikaamua kujiuliza Tanga kuna nini nyakati hizi karibia na uchaguzi mkuu?
Kuna orodha ndefu ya wastani ya viongozi wa CCM kuhamishia harakati zao za kisiasa jijini Tanga.
Mwenyekiti wa CCM
Katibu Mkuu wa CCM
Katibu Mwenezi wa CCM
Mwigulu Nchemba(nimesahau cheo chake ndani ya ccm)
Hawa ni baadhi ya wanaccm waliopitapita tanga mfululizo kwa siku za karibuni.
Ni ipi sababu kubwa ya ccm kukimbilia au kuhamishia mashambulizi Tanga?
Cc: mohamedmtoi
Kuna msemo maarufu hapa nchini ambao pengine unatokana na muziki wa wagosi wa Kaya unasema "TANGA KUNANI PALE"
Nami nikaamua kujiuliza Tanga kuna nini nyakati hizi karibia na uchaguzi mkuu?
Kuna orodha ndefu ya wastani ya viongozi wa CCM kuhamishia harakati zao za kisiasa jijini Tanga.
Mwenyekiti wa CCM
Katibu Mkuu wa CCM
Katibu Mwenezi wa CCM
Mwigulu Nchemba(nimesahau cheo chake ndani ya ccm)
Hawa ni baadhi ya wanaccm waliopitapita tanga mfululizo kwa siku za karibuni.
Ni ipi sababu kubwa ya ccm kukimbilia au kuhamishia mashambulizi Tanga?
Cc: mohamedmtoi
Last edited by a moderator: