Ndugu zangu wana JF Mimi ni Mwanachama wa Bima ya Afya nakerwa sana na kutopata matibabu siku za mapumziko kama Jumamosi,Jumapili na siku za Sikukuu.Siku hizo tunaugua kama kawaida na ajali pia hutupata kwani hatuombia bali hutokea bila sisi kutaka,sasa kwanini Bima ya Afya haiweki utaratibu wa matibabu siku hizo?Vituo vingi vya Afya kwa siku hizo hudai watu wa Bima ya Afya hawapo hivyo hulazimika kujilipia matibabu hapohapo au sehemu nyingine.Hii ni Haki?Naomba mchango kwa yeyote.