Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 15,601
- 22,496
Jamaa alikosea jina.So unataka tutoe R. I. P in advance? 🤣🤣
Jina la kiongozi aliyepo, ye kaandika la aliyepita, niivo tu yaani.
Jamaa alikosea jina.So unataka tutoe R. I. P in advance? 🤣🤣
Kwani unataka aende wapi ?Lakini,Biden anatumia ndege kwa usafiri mpaka leo.
Mkuu ukisikia umbea usio na maana ndio huu ,mnataka aishije ? Watembee aende wap? Kwenye kampeni au kuzindua barabara?Niache bange kwani nimeishika?Kwa hiyo huwa anakaa ndani tu au hutumia punda?
Unajisumbua aisee kwa maswali yako.Ukiwa serious sana utapata high blood pressure bure!🤣🤣🤣Mkuu ukisikia umbea usio na maana ndio huu ,mnataka aishije ? Watembee aende wap? Kwenye kampeni au kuzindua barabara?