MalcolM XII
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,235
- 14,203
Arafa huyuu! Yaani nashindwa kuelewa kabisa.
Katoto kazuri ka kirangi, kafupi kidogo, cheupe, nyuma kafunga mzigo, dabo kabini, kifurushi cha haja kimejaa si mchezo!
Akipita lazima uvunje shingo.
Nilimtaka kwa muda mrefu sana, ila ananisumbua kichizi. Nikaja kusikia story kwa wadau kumbe wanajipigia tu. Wadau wanasema ni mimi tu ndo ananibania.
Tatizo ni kwamba hanipi nafasi nimpange, yaani anaruka ruka mno. Napata tabu sana kumshawishi huyu mchumba. Sijawahi kusumbuliwa na demu kiasi hiki.
Mnanishauri vipi wakuu kwenye hili.
Katoto kazuri ka kirangi, kafupi kidogo, cheupe, nyuma kafunga mzigo, dabo kabini, kifurushi cha haja kimejaa si mchezo!
Akipita lazima uvunje shingo.
Nilimtaka kwa muda mrefu sana, ila ananisumbua kichizi. Nikaja kusikia story kwa wadau kumbe wanajipigia tu. Wadau wanasema ni mimi tu ndo ananibania.
Tatizo ni kwamba hanipi nafasi nimpange, yaani anaruka ruka mno. Napata tabu sana kumshawishi huyu mchumba. Sijawahi kusumbuliwa na demu kiasi hiki.
Mnanishauri vipi wakuu kwenye hili.