Kwanini Abeid Karume si Baba wa Taifa?


Si umeona hata wewe umemtaja Van dame, lakini si yule pacha wake, hapo van dame ndiye main haiwezekani watu wakawa bora wote na wakalingana kila kitu.
 
Ubaba wa taifa unakuja kutokana na makubwa aliyofanya na mafunzo tunayoendelea kuyapata kupitia hotuba zake makini,huyo mwingine hana sifa kama za hayati JKN full stop baba huwa ni mmoja huyo labda awe wakambo sio kilakitu mdai usawa cheee
 
Newton alikufa na miaka 85
 
Jibu sahihi LA swali lako ni kwamba MITANGANYIKA NI MIBAGUZI hilo twalifahamu lakini muhimu zaidi sisi hatuna habari na huu Ukoloni wao
KARUME WETU ANAISHI KTK NYOYO ZETU FULL STOP
 
ABEID AMANI KARUME BABA WA TAIFA LA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
 
Kwahiyo Karume ni mama wa Taifa? Mpeni hata ubaba wa kambo basi..

Karume alipata nchi kwa MAPINDUZI , Nyerere alipata Tanganyika kwa POROJO..

Nani katika hao ana hadhi ya kuwa BABA?
ABEID AMANI KARUME BABA WA TAIFA LA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
TUTAMKUMBUKA DAIMA SHUJAA WETU WA NCHI YA ZANZINBAR
 
ABEID AMANI KARUME BABA WA TAIFA LA JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR
TUTAMKUMBUKA DAIMA SHUJAA WETU WA NCHI YA ZANZINBAR

 
maana dunia imeshuhudia wanasayansi nguli kweli kweli na wenye heshima zao Kama ISAACK NEWTON richa ya kuishi miaka michache ,nadhani kuhusu suala la kukumbukwa ni LEGACY aliyo iacha MTU
Isaac Newton aliishi miaka mingi kuliko Nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…