Sasa mama yake anahusika vipi mkuu?kwani hakuna option ya jibu jingine hadi ahusishwe MAMA?hivi mbona tunawachukulia poa sana mama za wenzetu,wako akifanyiwa hivyo utapenda?.
KANUNI BORA YA UTU: LOLOTE LILE MNALOTAKA WATU WAWATENDEE NINYI NANYI TENDENI HIVYO.