Kwani tanzania hatuwezi kupandikiza watoto?

gagonza

JF-Expert Member
Oct 18, 2009
309
98
kuna taharifa zinasema wanawake 60 kwa mwaka wa kitanzania wanaenda kenya kupandikiziwa mbegu za kiume ili apate mtoto,je tanzania hatuwezi hiyo kazi?
 
Hapa Dar ipo tayari clinic yenye kufanya kazi hiyo,ipo maeneo ya mikocheni karibu na Radio Clouds.
Kiserikali atuna clinic kama hii(yaani aipo iliyopo chini ya wizara ya afya)na hii ya mikocheni bado ni mpya so watu wengi bado awaijaijua sana
 
Inawezekana, tatizo lipo kwa serikali kuto kuwajali madaktari wetu. Hapa Tz yupo Prof. Kaisi ambaye ni mtaalam wa hiyo kitu, but serikali ikamtelekeza akaishia kupata Stroke. Saa hizi hana raha na profession yake, mara nyingi ukiwa naye katika mazungumzo yake atakusimulia magumu aliyokumbana nayo wakati akiwa kazini na hata baada ya kustaafu. Huyu mzee ndo baba Mzazi wa Mwanamuziki Shaa, anampongeza sana binti yake kwa kuchagua kuwa musician badala ya kuwa daktari kama yeye au kazi nyingine ya kitaaluma
 
Hapa Dar ipo tayari clinic yenye kufanya kazi hiyo,ipo maeneo ya mikocheni karibu na Radio Clouds.
Kiserikali atuna clinic kama hii(yaani aipo iliyopo chini ya wizara ya afya)na hii ya mikocheni bado ni mpya so watu wengi bado awaijaijua sana

Kaka naomba nielezee iko wapi hiyo clinic?
Ninahitaji niende nami nijaribu bahati yangu
asante
unaweza ukanijibu kupitia private message kwa maelezo zaidi
 
Inawezekana, tatizo lipo kwa serikali kuto kuwajali madaktari wetu. Hapa Tz yupo Prof. Kaisi ambaye ni mtaalam wa hiyo kitu, but serikali ikamtelekeza akaishia kupata Stroke. Saa hizi hana raha na profession yake, mara nyingi ukiwa naye katika mazungumzo yake atakusimulia magumu aliyokumbana nayo wakati akiwa kazini na hata baada ya kustaafu. Huyu mzee ndo baba Mzazi wa Mwanamuziki Shaa, anampongeza sana binti yake kwa kuchagua kuwa musician badala ya kuwa daktari kama yeye au kazi nyingine ya kitaaluma

amepata stroke kwasababu ya kutelekezwa na serikali?!, makubwa!
 
We raia wa wapi? Kwa nini atumie private message, acha ubinafsi kila mtu anapenda kuijua hiyo clinic.
 
kuanzia lini umeona kuku wa kisasa akifikiria kujitafutia mahitaji yake?
Serikali yetu ina vipau mbele vyake ambavyo ni siasa na ubadhirifu.
Haiwekezi kwenye sayansi na tafiti zenye tija kwa maendeleo yetu.
Tafiti zifanyikazo ni za kumfagilia Kikwete na CCM tu, je kwa mwendo huo tutaweza kweli kupandikiza watoto?
 
Mie naionaga pale opposite na clouds fm. Siyo ya siku nyingi sana nafikiri hata mwaka bado. Bango lake liko nje na linajieleza. Ukitokea Mwenge unashuka na ile barabara ya kuelekea Cocacola
 
Mie naionaga pale opposite na clouds fm. Siyo ya siku nyingi sana nafikiri hata mwaka bado. Bango lake liko nje na linajieleza. Ukitokea Mwenge unashuka na ile barabara ya kuelekea Cocacola
Ni sawa kabisa ndio hiyo hiyo.
kama unatokea msasani kwa nyerere baada ya jengo la mslaba mwekundu unaingia barabara ya kwenda cocacola.
 
kuna taharifa zinasema wanawake 60 kwa mwaka wa kitanzania wanaenda kenya kupandikiziwa mbegu za kiume ili apate mtoto,je tanzania hatuwezi hiyo kazi?

Mkuu Gagonza, hizo "taharifa"...si za kweli, ila TAARIFA nijuazo mimi ni katika hospitali za serikali jambo hilo haliwezekani, lakini private clinici inawezekana..So labda "mkitupatia" vifaa na kuwezesha hospitali za Serikali, jambi hilo litafanyika huko pia.
 
Kwa nini kupandikiza bwana, sisi bado hatujafikia huko? Madhara yake tusije kuwa na mazezeta wengi! Sisi ni kutwanga tu, twanga kotekote bwana
 
Kwa nini kupandikiza bwana, sisi bado hatujafikia huko? Madhara yake tusije kuwa na mazezeta wengi! Sisi ni kutwanga tu, twanga kotekote bwana

Ukiona ameamua kupandikiza ujue njia zingine zimeshindikana, halafu atwange kote kote kivipi?
 
Ukiona ameamua kupandikiza ujue njia zingine zimeshindikana, halafu atwange kote kote kivipi?

Kweli poleni kwa wenye matatizo hayo Mungu awape faraja. Wasiwasi ulikuwa kufanyia hayo majaribio kwa sis binadamu wa nchi masikini na madhara yake ni kutokeza mavuvuzela. Ngoja hii technolojia ikomae kwanza huko magharibu. Kuhusu kutwanga naona kunaeleweka, bara & viswani, friend match, au ... jamani si umalizie na wewe sasa? uchomaji wa chapati...
 
Back
Top Bottom