bigest
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 340
- 166
Habari zenu wakuu wote, leo pita pita yangu na biashara mtaa kwa mtaa, leo nmekwenda maeneo ya tandale kwa mtogole,
Hakika leo biashara yangu imekwenda sivyo kutokana na wateja wangu kila nlipokua nabisha hodi sipokelewi na hakuna anayenijubu,
Nyumba kama 10 napita nakuta milango wamefunga lkn ndani wapo.
Nashukuru mkazi mmoja akaniuliza unajiamini nini leo huku kunachafuka baadae,
Nikauliza nikaambia mitaa ile kuna kijana aliiba wanainchi wapiga mpaka kifo, sasa vijana wenzake wamepanga leo baada ya mazishi saa kumi wanaingia mtaani kulipa kisasi kwa wanainchi waliyofanya hivyo.
Nmejiuliza hivi mpaka sasa panya load bado wapo?
Hakika leo biashara yangu imekwenda sivyo kutokana na wateja wangu kila nlipokua nabisha hodi sipokelewi na hakuna anayenijubu,
Nyumba kama 10 napita nakuta milango wamefunga lkn ndani wapo.
Nashukuru mkazi mmoja akaniuliza unajiamini nini leo huku kunachafuka baadae,
Nikauliza nikaambia mitaa ile kuna kijana aliiba wanainchi wapiga mpaka kifo, sasa vijana wenzake wamepanga leo baada ya mazishi saa kumi wanaingia mtaani kulipa kisasi kwa wanainchi waliyofanya hivyo.
Nmejiuliza hivi mpaka sasa panya load bado wapo?