Anayedai fulani ni mtoto wa mama, inabidi afafanue kutujuza kuwa yeye siyo mtoto wa mama. Ina maana abba yake alilala na ng'ombe akamzaa yeye. Hata hivyo itabidi bado ataitwa mtoto wa mama japo amezaliwa na ng'ombe. Baba hawezi kuzaa bila mama, kadhalika mama hawezi kuzaa bila baba.