Deportivo la coruna
Senior Member
- Aug 16, 2021
- 163
- 268
Naamini katika Mungu na Ukristo sana, lakini nakua na walakini pale ninapoona kama Mungu Kuna majambo anayashindwa au tuseme hajibu Kwa WAKATI.
Mfano Mimi Kuna kitu kinanitesa Cha kifamilia, ambacho hakiitaji Pesa Wala Hospital, kinahitaji Mkono wa Mungu Ili jambo Liwe sawa.
Jambo Hilo lapata miaka 20, tokea nikiwa mdogo nilivyoanza kujielewa, nimekua nikimuomba Mungu katika hili lakini Mpaka Leo hakuna majibu mambo ni yaleyale.
Sasa nawaza ni Mungu ameshindwa na nguvu za shetani au inakuaje, hapa ndio nakua nawaza wale wakina kiranga wanaosema hakuna Mungu nao wasipuuzwe wanakua na sababu zao.
Mpaka sasa hili suala nshalikatia tamaa maana nmelishtak Kwa Mungu takribani miaka 20 bila MAFANIKIO yoyote.
Hivi kweli Mungu yupo ? Au tunaaminishwa tuu
Mfano Mimi Kuna kitu kinanitesa Cha kifamilia, ambacho hakiitaji Pesa Wala Hospital, kinahitaji Mkono wa Mungu Ili jambo Liwe sawa.
Jambo Hilo lapata miaka 20, tokea nikiwa mdogo nilivyoanza kujielewa, nimekua nikimuomba Mungu katika hili lakini Mpaka Leo hakuna majibu mambo ni yaleyale.
Sasa nawaza ni Mungu ameshindwa na nguvu za shetani au inakuaje, hapa ndio nakua nawaza wale wakina kiranga wanaosema hakuna Mungu nao wasipuuzwe wanakua na sababu zao.
Mpaka sasa hili suala nshalikatia tamaa maana nmelishtak Kwa Mungu takribani miaka 20 bila MAFANIKIO yoyote.
Hivi kweli Mungu yupo ? Au tunaaminishwa tuu