Kwani mkuu wa mkoa anapaswa kuwa na kiwango gani cha elimu?

uwe CCM "die hard"
 
Shaghala baghala mara vyeti feki ,mara askari jeshi,mara division 0,mara watangazaji wa clouds,mara masalia ya waliokosa ubunge ccm,
Upuuzi mtupu
 
Shaghala baghala mara vyeti feki ,mara askari jeshi,mara division 0,mara watangazaji wa clouds,mara masalia ya waliokosa ubunge ccm,
Upuuzi mtupu
Ukikosa ubunge haimaanishi kwamba umepoteza sifa ya kuteuliwa nafasi nyingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…