Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,285
- 6,220
uwe CCM "die hard"Sifa kuu ni kuwa na kadi ya CCM na sifa ya pili ni kuwa Mkuda kwa vyama vya Upinzani, upande wa vyeti kwa cheo cha mkuu wa mkoa ni ruksa kufoji tu, foji hata cha Harvard university hawana mda wa kufuatilia, cha Msingi uwe mkuda kwa wale ambao mkulu atakutuma uwakomoe makusudi.