Kwani Marekani hakuna wanawake wengine?

Kwani Marekani hakuna wanawake wengine?

Inategemea na mtu@watu8, wanawake walio wengi, sio wote lakini; wanaohamia Marekani huwa wanabadilika sana kuwazidi mpaka wazawa...

Haswa , very much know most of them but they are bogus. Kingine too much fake, fake. Wengi wao Wanajaribu kukocopy maisha ya wenyewe Wa nchi ili wewe sawa Aaaaahhhhaaaaaaa , seriously nimewaona wadada wengi watokao nnje za nchi si tuu US every where , if you want to be failure in your life when you go abroad waendekeze wadada Wa aina hii or wakaka. Wingine wanataja mpaka mwanaume Wa kuwa nae, eti awe mrefu kama mchezaji kikapu, mweupe or light skin, awe na professional job kama ya yule kaka, awe anaendesha range rover , or mnyama kama ule pale, amemaliza chuo kinacho make sense, aka Harvard, or Oxford , sitaki mnene or mfupi Nataka six packs yaani too much headache. Hebu niambie Kweli mume atakuja Kweli ? And I'm sorry my people lakini haya nimeshayaona kabisa kwa macho yangu, sijahadisiwa na MTU . Remember sio wanawake wote .So awe muangalifu sana huyo Rafiki yako . Thanks.
 
Naona tumekusaidia kukupa mawazo japokuwa umetumia ujanja kusema ni jamaa yako na sio wewe!
 
Ingawaje si wote ndio lakini mara nyingi huwa naona wadada zetu wanabadilika tabia na kuwa mbaya (mbaya kwa mantiki wanaiga mila mpya)...

Hii haipo kwa wanaoenda Marekani tu bali wadada Watanzania wengi waishio ughaibuni huwa wanabadilika kimitizamo...

Huyo bwana asijipe moyo akidhani atakuja kutana na malaika...

Inategemea na mtu@watu8, wanawake walio wengi, sio wote lakini; wanaohamia Marekani huwa wanabadilika sana kuwazidi mpaka wazawa...
 
acha aende huko akakutane na wanawake design za SITTI, watamdanganya miaka mwisho aoe mabibi zake.
 
Inaonesha swala la kwenda marekani kwake ilikua ndoto kubwa saaana basi anajiona ndio kafika lol
ingekua huyo dada ndio anaenda angemuacha?just thinking..
ila na huyo dada apunguze uclingy,sometimes weka kadignity kidgo
 
Mwambie ahakikishe hapotezi cheti cha kuzaliwa, maana akirejea huku tutampa taarifa zake zote na atakuta huyo wa kumbembeleza hana time tena!
 
Kwa kuwa dhamira yake ni kumuacha na amuache kwa amani tu na bidada ajue ameachwa hana chake tena kuliko kumuumiza binti wa watu kusubiria ahadi hewa hiyo miaka 3 aliyompotezea inatosha.
 
yaan kuna baadh ya watu hasa wadad, wakienda nje ya nchi wanaona kila kitu wamemaliza kumbe thngs are not the same, ww nenda af utatupa mrejesho, hakina mapya sana so huna sabab za kumwacha dad wa watu, kengele zako ww
 
mh!!!

  • A%20S%20109.gif

 
Hahahah mwambie huyo rafiki yako sikuzote mpira huanzwa kuchezwa nyumbani
 
tunasubiria thread yako ya kulalamika maumivu ya mapenzi utakapofika usa baada ya kumtosa huyo mdada
 
Back
Top Bottom