Kwani Marekani hakuna wanawake wengine?

Kwani Marekani hakuna wanawake wengine?

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
19,349
Reaction score
36,301
Hii inamuhusu rafiki yangu. Its like this, ana mchumba wake wa muda mrefu (3 years now). Jamaa kapata mchongo, anahamia Marekani, anaondoka November. Mchumba wake anamsisitiza waondoke wote. Jamaa anamwambia anaenda kuweka kwanza mambo sawa, mambo yakiwa vizuri atamtumia tiketi, ingawa jamaa anasema hana mpango wa kurudi bongo achilia mbali wa kuwa na huyo mchumba wake...

Washikaji tukamwambia huyo si ndio mwanamke wako kaka, kwanini usiende naye tu kama nafasi inaruhusu. He is like " KWANI HUKO NINAKO ENDA HAKUNA WANAWAKE WENGINE?". Jamaa anasema moja kati ya sababu zinazo mfanya aende Marekani ni pamoja na kumkimbia huyo mwanamke na familia yake.



10312701_844261135618533_4354365027827972875_n.jpg
 
Jamaa ametoa sababu tosha kabisa. Huyo mwanamke anataka kwenda naye USA kwani yeye ni pasipoti, tiketi au kitabu cha chanjo ya homa ya manjano?
Kuna vitu vya kubeba, na si mwanamke, hata siku akirudi Bongo kutembea, akiwa anarudi tena USA mpe huu ujumbe.
 
huyo anayeenda marekani hajui maisha ya nje ya nchi yalivyo...mwambie marekani wapo lakini watakuwa sio wale anaowataka yeye au kama yupo tayari awe na wanawake wa mataifa mengine hapo sawa lakini kuna umri na wakati utafika atataka mwanamke wa kwao namaanisha wa kitanzania na ndo hapo atakapopata shida sasa maana wa aina hio hawapo wengi haswa nje ya nchi walotulia na akisema akatafute bongo anaweza akutane na matapeli ajute kuzaliwa...kama ana mtu asimuache kwa kiherehere cha kwenda marekani hajui kesho itakuwaje!
 
Mwambie anipe namba za huyo mke wake niendelee kumuhudumia kwa shida mbalimbali za kimwili na kiakili na kiroho
 
Jamaa alikuwa na nia ya kumwaga huyo dada. Hata kama isingekuwa safari eventually ange mmwaga tu.

Lakini nawaambieni, baada ya mwaka atapiga simu kuomba msamaha. Ukitaka kujua uzuri wa kitu kipoteze kwanza.
 
Hii safari na mwanamke kuomba aende nae ni poda tu, hakuna mapenzi tena hapo.

Jamaa kesha mwona mdada ana kasoro, ila anasutwa na dhamira uwenda kunamakubwa kasaidiwa na mchumba..... Its enigmatic out of that fafanua.
 
huyo anayeenda marekani hajui maisha ya nje ya nchi yalivyo...mwambie marekani wapo lakini watakuwa sio wale anaowataka yeye au kama yupo tayari awe na wanawake wa mataifa mengine hapo sawa lakini kuna umri na wakati utafika atataka mwanamke wa kwao namaanisha wa kitanzania na ndo hapo atakapopata shida sasa maana wa aina hio hawapo wengi haswa nje ya nchi walotulia na akisema akatafute bongo anaweza akutane na matapeli ajute kuzaliwa...kama ana mtu asimuache kwa kiherehere cha kwenda marekani hajui kesho itakuwaje!


Absolutely I agree with you. Watu nchi za wengi now wanakimbilia kuowa/ kuolewa makwao wameshagundua nnje ni kimeo tena kikubwa kuliko Bongo. Binafsi hata simshauri huyo Rafiki yako aowe nnje, wadada Wa kibongo Wa nnje.ya nchi wanjifanyaga vichwa halafu they are bogus ni very few of them nnje ya nchi ambao Bado wanamsimamo Wa kimaisha na wanakumbuka wapi walikotoka. Huyo Rafiki yako ndugu asiingie kwa pupa huko US other wise atakuja juta. Wanasema usiache mbachao kwa msala upitao, lol. Na kama anaenda huko US inategemea status yake Je ana vibali aka Green card ? Kama ndio na Bado anampenda huyo Dada akienda , afanye mipango arudi tena Bongo baada miaka kadhaa arudi aje amuone huyo Dada kama hajabadilika na kama hajabadilika basi arudi tena US na kumfanyia mpango amchukue . Trust me in my own understanding it is better to marrying the devil you know than to marry the saint you don't know. Thanks.
 
Hehehe...ngoja nicheke miye!!!

He'll definately be surprised na atakumbuka maisha ya bongo kwa habari ya mahusiano...
 
Hehehe...ngoja nicheke miye!!!

He'll definately be surprised na atakumbuka maisha ya bongo kwa habari ya mahusiano...

Haswaaaa ndugu, kula tano whatever you are , aaaaaahhhaaaaaa! Thanks!
 
Hehehe...ngoja nicheke miye!!!

He'll definately be surprised na atakumbuka maisha ya bongo kwa habari ya mahusiano...
Inategemea na mtu@watu8, wanawake walio wengi, sio wote lakini; wanaohamia Marekani huwa wanabadilika sana kuwazidi mpaka wazawa...
 
Back
Top Bottom