Kwani lazima mvae hizi chupi?

hahahahahaaa mambo ya bikini hayo sjui wanazpendea nn yani zinakakamba kamoja tu kanapota kwenye mstar wa ikweta yn daaahh
 
Hizi bikini kwa kweli zilishaga nipita kushoto,kwanza hua nahofia marinda yangu hako kamkanda kanavyoingia katikati nakua sina amani,pili nahofia makalio kugawanyika na kuweka uwazi hata ukivaa suruali yanakaa moja mashariki lingine magharibi bila kuwa na ushirikiano.
Ndo mana najivaliaga chupi ya kufunika tako lote,au zile boxer za kike,au hata za kiume napiga tu,nikishindwa kabisa natemba tu hivyo hivyo,tunashauriwa tuwe tunaacha vibumbu vipigwe hewa
 
Huu uzi kwakweli unahamasisha sana na kibaridi hiki. Kama umesimama kwenye dala dala kazi unayo aisee... Demiss wewe....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…