View attachment 48718
Jamani hawa ni wapiga picha wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakifuatilia "DUA" ya SSC, haikufahamika mara moja kwa nini walikua BIZE sana kupiga kwa staili hiyo, je huend SSC walivaa Viatu vipya??? au hapo chini kulikuwa na kitu gani?
Mpigapicha wa pili kutoka kushoto(mwenye begi mgongoni) mkao alivyokaa unaitwaje vile?
una akili sana weye!!!lengo ilikuwa ni kupata sura za wachezaji walioinama.