themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 989
- 3,335
Nishawahi kuchangia watu 25 nnaowajua na ndoa 13 zishavunjika ndani ya muda mfupi tu hivi simuoe kwa siri kwa bajeti ndogo muache kusumbua watu.
Basi mkioana msiachane ili mtupe moyo think unamchangia mtu laki moja halafu baada ya mwaka unaskia kashaacha mke jamani jamani jamani
Basi mkioana msiachane ili mtupe moyo think unamchangia mtu laki moja halafu baada ya mwaka unaskia kashaacha mke jamani jamani jamani