Hao ndio vinara wa wizi ! Uking'oa mizizi matawi yatakufa.
Hao ni waizi wa mali ya umma wakongwe.
Kumbe wewe ndio CCM na CCM ni wewe aibuuuu hiloooooooooooooooo!!na wewe pia ni ROTTEN kama ni hivo....!!!
unaona raha kuwaambia wenzako rotten....!!
basi na wewe ni rotten namba moja, tena uliyekubuhiu....!
hadi bamkubwa??!ccm yote imeoza hakuna wakumyoshea kidole mwenzake
Nimesoma Raia Mwema kuhusu utetezi wa Lowasa kwenye vikao vya ccm, hivi hata ukiwa wewe ndo lowasa utakubali kufukuzwa?
CCm kuna mafisadi nafikiri asilimia 90, na 10 iliyobaki ndo wanaweza angalau kuwa safi. I am not lowasa fan but it makes sense. Wapo wengi ambao hata sina sababu ya kuwataja hapa, ccm inabidi iwafukuze wote wanaotuhumiwa na kashfa za rushwa na ndio lowasa ataridhika or else inabidi wamuangalie kwa ukaribu sana ama sivyo ataisambaratisha ccm.
The guy doesnt want to loose, jamaa ni mgumu aiseee. Na sie tunasubiri hilo litokee ili tujitwalie nchi kirahisi! ccm hakuna msafi they are all rotten.
na wewe pia ni ROTTEN kama ni hivo....!!!
unaona raha kuwaambia wenzako rotten....!!
basi na wewe ni rotten namba moja, tena uliyekubuhiu....!