Inamaana inatakiwa aonyeshe uzalendo?Daah unaacha Pombe mkuu??,...
Kodi kodi kodi mkuu unaikosesha serikali mapato halafu pia wewe mwenyew utaishije sasa?
Kabisa, uzalendo ni kitu muhimu sana kwa Taifa lako hasa sisi vijana
Get busy fanya sana kazi hadi uchoke afu pitiliza nyumbani kulala iwe routine yako kwa siku 7 za mwanzo kisha repeat. Mwenyewe nakushauri uache pombe ila mm wala sina mpango wa kuacha sema saizi nakunywa atleast mara 3 kwa week, kuacha kabisa nimeshindwa.
Kabisa, uzalendo ni kitu muhimu sana kwa Taifa lako hasa sisi vijana
Exactly kuacha kunywa bia ni kazi sana aisee ila anaweza punguza, first ajipe muda mwingi kufanya kazi pili apunguze kampani na walevi sugu mbona ataona mabadiliko.Kwahiyo hapa unamshauri sio kuacha, ila apunguze.
Anywe bia kwa wastani , na awe na ratiba.
Aache kampan za ajabu.
Mm nina rafik zangu watatu tu wa bia na mara nying nakunywa mwenyewe.
niliacha kukaa na kampan za walevi baada ya kugundua walevi wengi wanatumia hela nyingi kuweka heshima bar alaf nyumban kwao maisha ya Hovyo.
Nikaona huu uduanzi,. Mm siwez kuwa kama wao.
Na bia ndio inanifanya nikazane kufanya kazi , nikijua jion nitarelax, nitakunywa Bia zangu 4, nitaenda Home kula na kulala kwa aman kabisa. Na chenji inabaki na maendelea nayaona.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Bro nliambiwa ili mtu aache pombe ushauri hautoshi mpk skumoja anyweeeeeeeee alafu zile pombe zmfnyie jambo baya either afnye fujo au afanye Jambo la aibu kwa jamiii afu akija kjielewa wkmwambia umefnya moja mbili tatu aaape kwenye nafc yake kwamba kma kweli n pombe ndo zmfnya nmkua hvi kutoka moyoni kuanzia "leo" mm bac.
Bro Wang alkua mlevi wa kupndkia wlishauri Sana na ktumia madawa mbalimbali, but still alkua hbadiliki mpk mke wake akakta tamaa kukaa nae.
But kuna sku mama mkwe kaja pale kusalimia jmaa hajui kapiga maji yake kaja pale om full vituko anavua nguo anbak na boxer anaaza kucheza mama mkwe akaondoka analia by the way nlkuepo.
Kwaio kesho yake mm ndo nlkua wa kwanza kmuelza ujinga wke na matus juu japo knzd mam mkwe alkuepo na nn akalia sana afu akaapa Kama kweli n pombe zmenfnya hvi kuanzia leo mm bc mpk kesho hta grand Malta hatumii.
So pombe kmshaur mtuu aache n ngumu muombe mungu akupe bonge la tukio afu utaacha mwenyewe.
Mkuu kunawatakao kushauri usiache, ila kumbuka wako nyuma ya keyboard, na inawezekana hawanywi, au wanatumia kidogo na unayeloose ni wewe sio wao.
Anza kutumia chai na niwa ukiwa na kiu ya pombe. Badili cycle ya marafiki na tafuta vitu vya kukuweka busy na mazoezi. Hii ilinisaidia kuacha pombe miaka nane iliyopita.
Ukishindwa subiri ikufukuzishe kazi, utaiacha kwa lazima