Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 23,877
- 31,647
Anza na familia yako kwanza.Waislamu wote ni ndugu katika imani, ni wajibu wetu kumlingania mzee yusuph sababu ni ndugu yetu kiimani.
Anza na familia yako kwanza.Waislamu wote ni ndugu katika imani, ni wajibu wetu kumlingania mzee yusuph sababu ni ndugu yetu kiimani.
Bado SumaLee na Saigon nao watarudisha tu majeshi hahaahaaaaaaNjaa imemrudisha mjini
Njaa syo mchezo mzee
Ova
Hata yeye amekiriNjaa imemrudisha mjini
Njaa syo mchezo mzee
Ova
Kama sio denser au video vixen basi utakua promoterKama hajawahi kuja kwako kukuomba chakula, acha afanye vile anaona sahihi mbele yake mwenyewe.
Ina maana hao mnaowaita watu wa dini sana ndo hawafagi kwa ajali au magonjwa???
Kuna dhambi gani mtu kutumia kipaji chake alichopewa na Mungu kujipatia riziki???
Muhukumu wetu ni mwenyezi Mungu pekee na si mwanadamu.
Unaanzaje kumnyoshea kidole mwenzako badala ya kushughulikia mapungufu yako mwenyewe???
As long as he doesn't steal from you, let him do what he wants for his own bread
Hivi huyu jamaa aliishia wapi?