mansakankanmusa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,162
- 796
Baada ya watumishi serikalini kunyimwa mishahara ya mwez November na December mfululizo.
Fedha hizo ama hazina wanajitutumua kujikosha kuongeza mapato ama kukomoana baada ya idara za serikali kuwa na joto la serikali ya awamu ya Tano.
Ningeomba ieleweke kwamba, mateso wanayoendeleza kuyapata waliokosa fedha hizo, si halali ktk matumizi mengine
Fedha hizo ama hazina wanajitutumua kujikosha kuongeza mapato ama kukomoana baada ya idara za serikali kuwa na joto la serikali ya awamu ya Tano.
Ningeomba ieleweke kwamba, mateso wanayoendeleza kuyapata waliokosa fedha hizo, si halali ktk matumizi mengine