Chaimaharage
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 211
- 78
Kama ikishindikana either mawaziri wenye kashfa kujiuzuru au waziri mkuu kujiuzuru ili kuonyesha uwajibikaji basi wewe na wenzio mliothubutu kufanya hivyo akina Karamagi na Msabaha lalamikeni kuwa mlionewa. Mbona wengine wanalindwa ninyi mlitupiliwa mbali?