Salm wapendwa
Polen na kazi ewe mama na Mbunge wa Mleba kusin najua majukumu ni mengi na kupongeza!!
Nachukua fursa hii kukumbusha kuwa nimepita kwa wapiga kura wako nkakuta wananungunika hataree
Kilio chao kikubwa ni juu ya barabara ya kwenda Rubya naharufu km Kanyambongo hii barabara imeharibika mno na inareta kadhia kubwa saana kiasi cha watu wa maeneo ya
Lwagat Kashasha,Rubya,Ijumbi,Nshyambya Ruija
Wanateseka pindi wanapofanya safari zao kwenda wilayan Mleba khari inayosababisha Nauru kuwa kubwa mno
Lakin Mama hiyo barabara inatumika kubeba wagonjwa ambao wanakusa wanaitaji uduma kubwa pale inaposhindikana pale hospital ya serikali maharufu Kaigara ukijua Rubya ndo hospital teule ya Wilaya
Tafadhari mama liangalie kwa Umakin ukiangalia Mleba inamapato na inawezekana
Pili mama ni tatizo la migomba mama huu ugonjwa wa mnyauko umekuwa tishio ni miaka sasa licha ya kuwa na watu wasomi na vyuo vingi vya kilimo watu wamaomba upige Makeleme anglau uko Bungen ili tafiti zaidi zifanyike na wapate unafuu khali ni mbaya njaa kweli na kumbuka huw hawasaidiwi na serikali,debe la mahindi ni 25000 mama unapozungumzia Ndizi za Bukoba unazungumzia Nshamba,Kishanda Buganguzi Rubya,Ijumbi,Ruija
Na Kamachumu japo hapo sio pa kwako ila mnaweza shilikiana na Mwijage kuona cha kifanya
Ntashukuru sana huu ujumbe ukikufikia na Fikiri unakumbuka ulivyopiga Magoti kuomba barabara ya kwenda hospital teule ya Rubya
Polen na kazi ewe mama na Mbunge wa Mleba kusin najua majukumu ni mengi na kupongeza!!
Nachukua fursa hii kukumbusha kuwa nimepita kwa wapiga kura wako nkakuta wananungunika hataree
Kilio chao kikubwa ni juu ya barabara ya kwenda Rubya naharufu km Kanyambongo hii barabara imeharibika mno na inareta kadhia kubwa saana kiasi cha watu wa maeneo ya
Lwagat Kashasha,Rubya,Ijumbi,Nshyambya Ruija
Wanateseka pindi wanapofanya safari zao kwenda wilayan Mleba khari inayosababisha Nauru kuwa kubwa mno
Lakin Mama hiyo barabara inatumika kubeba wagonjwa ambao wanakusa wanaitaji uduma kubwa pale inaposhindikana pale hospital ya serikali maharufu Kaigara ukijua Rubya ndo hospital teule ya Wilaya
Tafadhari mama liangalie kwa Umakin ukiangalia Mleba inamapato na inawezekana
Pili mama ni tatizo la migomba mama huu ugonjwa wa mnyauko umekuwa tishio ni miaka sasa licha ya kuwa na watu wasomi na vyuo vingi vya kilimo watu wamaomba upige Makeleme anglau uko Bungen ili tafiti zaidi zifanyike na wapate unafuu khali ni mbaya njaa kweli na kumbuka huw hawasaidiwi na serikali,debe la mahindi ni 25000 mama unapozungumzia Ndizi za Bukoba unazungumzia Nshamba,Kishanda Buganguzi Rubya,Ijumbi,Ruija
Na Kamachumu japo hapo sio pa kwako ila mnaweza shilikiana na Mwijage kuona cha kifanya
Ntashukuru sana huu ujumbe ukikufikia na Fikiri unakumbuka ulivyopiga Magoti kuomba barabara ya kwenda hospital teule ya Rubya