Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 690
Wakuu huyu Shigella na Benno si ndo walitaka kuanzisha fujo huko Dodoma wakati UVCCM inahatarishwa kuvunjwa mpaka JK akamuwashia moto Benno???
Kama ndo hivyo wajue JK ni mzee wa visasi na wajiandae kwenda ADC (bendera inafanana na M4C) maana CCM hawawezi kudumu
Kama ndo hivyo wajue JK ni mzee wa visasi na wajiandae kwenda ADC (bendera inafanana na M4C) maana CCM hawawezi kudumu