Kwahili Zitto umetuangusha, sasa naamini we si mpinzani wa kweli

Kajolijo

JF-Expert Member
May 30, 2016
3,364
4,607
Zitto kwa hili nasema toka moyoni sasa naamini we si mpinzani wa kweli, haiwezekani wewe kama kiongozi mkuu wa chama ukakubaliana na hili, kama kweli una nia ya dhati kwanini unamuweka Mgombea alieshindwa ubunge huko Kibondo mhambwe kuja kugombea udiwani huko mbagala kijichi, leo katika pita pita zangu nmekutana na watu wanasema kua lengo lako ni kufelisha chama, eti mgombea Ediger mkosamali aligombea ubunge tena alikuwa hakubariki, ana uroho wa madaraka, kwnz aligombea ubunge 2015 kwenye kura za maoni akashndwa akakimbilia ACT ambapo napo aliboronga akapigwa chini sasa inakuaje umpe nafasi agombee udiwani huko kijichi? Kuna kitu gani kimejificha, kama alishndwa kibondo ataweza hapa, kwanini anatafuta madaraka kwa nguvu, mbona unaleta ukabila, kwani hamna wengine ambao ni 'cream' yaani hawana makando kando wa hapohapo kijichi? Unadhani watakuwa tayari kumchagua mtu alieshindwa sehem nyingine wakati ungewawekea wa kwao wangempa. Kiukweli nilivosikia haya maneno nikasema ngoja nilete wanajamvi muuchambue muone kama kweli hapa kuna upinzani wa kweli.
2a3da150585891f855f2f411f72b143a.jpg
 
Mbona umepanic sana kiongozi?! Au na wewe unagombea huko Kijichi?
BTW, anayechagua madiwani wagombee ni mwenyekiti wa chama taifa?!?
 
Mbona umepanic sana kiongozi?! Au na wewe unagombea huko Kijichi?
BTW, anayechagua madiwani wagombee ni mwenyekiti wa chama taifa?!?
Mi ata si mkazi wa huko, Yeye anawajua na kwa uchaguzi spesho kama huu huwezi kunambia hajashiriki
 
Mi ata si mkazi wa huko, Yeye anawajua na kwa uchaguzi spesho kama huu huwezi kunambia hajashiriki
Umemjia juu sana as if unaushahidi wa moja kwa moja wa yeye kushiriki!
Kumbuka kila mtanzania anahaki ya kugombea popote ndani ya nchi hii
 
Hao ndio Chadema badala ya kukiandama CCM wanakiandama ACT.

Yaani kwao ACT ndio mpinzani kuliko hata CCM.
 
Back
Top Bottom