kama mngejua toka aingie kwenye wizara ya nishati, kaongeza madeni huko tanesco kiasi gani msingekaa kuleta uzi wa kishoga kama huu
Sospeter Muhongo ni kiongozi aliyeonesha ufanisi mkubwa kiutendaji ndani ya muda mfupi sana, big sana.
Mtamsafisha sana lakini hamtoweza maana hata CCM wameshatoa maazimio ya kumtosa bila kumuangalia usoni! JK anashindwa afanyeje kwakuwa Jamaa aliletwa na USA kuhujumu TANESCO na kuhakikisha GAS haiwanufaishi Watanzania... Huyu Jambazi hatufai ... Fedha za ESCROW alizowagawia ili mumsafishe ni bora mka-save maana zitakwisha kwa kununua Bundles ...
Wewe ni chizi fresh, muanzilishi wa mpango wa umeme vijijini ni Ngeleja, hela zote tunakatwa kwenye mafuta na luku na wanaosimamia mradi ni Tanesco. Sifa mnazompa huyo Muhongo na hata mkate viuno namna gani haitasaidia maana lazima atoswe, then mtaona kama umeme vijiji hautawashwa
Sospeter Muhongo ni kiongozi aliyeonesha ufanisi mkubwa kiutendaji ndani ya muda mfupi sana, big sana.
nimtendaji na anawajibika
Hata ikiwa hivyo inabidi ang'oke tuuu...
Unamsafisha ili iweje?
Kama kuna mipango ya umeme vijijini ndiyo ulikuwa wajibu wake. We ulitaka afanye nini alipoteuliwa waziri?
Kwa hili swala la wizi wa Escrow hasafishiki hata mfanyeje.
wananchi vijijini wamemuona prof.muhongo kuwa ni mkombozi wao kwa kusimamia vilivyo usambazaji wa umeme vijijini. wananchi wamekuwa wakimzawadia mbuzi kuku na mazao mbalimbali ya mashambani wengine wameenda mbali kwa kumuombea dua zenye rehema tele.