tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Polepole sio pole tena, usiku huhuu tayari kashawalipua CCM na mume wao Rostam Azizi.
Utajiri wa nchi anakabidhiwa Rostam alafu utamskia mama anasema analinda mali za nchi kwa maslahi mapana ya umma, Polepole anauliza maslahi gani hayo mapana?
Leo katukumbusha tena kuwa tumeuzwa tumepigwa bei tushtuke, mwaka huu hakuna uchaguzi
kaongezeaa tena hawa wastaafu akina viwete wanaojikuta ni washauri wa Rais hawa Mungu akitusaidia tukapata ukumbozi inatkiwa wafunguliwe mashataka wajibu kwanini walikuwa wanafanya ubadhilifu wa mali ya umma na kujimilikisha nchi?
Utajiri wa nchi anakabidhiwa Rostam alafu utamskia mama anasema analinda mali za nchi kwa maslahi mapana ya umma, Polepole anauliza maslahi gani hayo mapana?
Leo katukumbusha tena kuwa tumeuzwa tumepigwa bei tushtuke, mwaka huu hakuna uchaguzi
kaongezeaa tena hawa wastaafu akina viwete wanaojikuta ni washauri wa Rais hawa Mungu akitusaidia tukapata ukumbozi inatkiwa wafunguliwe mashataka wajibu kwanini walikuwa wanafanya ubadhilifu wa mali ya umma na kujimilikisha nchi?