Kwaanini baadhi ya Wanaume wanapenda makalio?

sinaga ht muda wa kumskiza zaid ya juz kwenye kikokotoo...ananichefua sana mbwiga hyo....ila jitahd uwe mzalendo na nchi yako aisee..usitumike na mabeberu

Ye kila kitu ni mabeberu ila yeye hajioni alivyo zaidi ya beberu
Akweendreeeeee na mabeberu yake

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
tmr tunamwaliza mwak wa 3 ujue
Sio mchezo ndani ya miaka 3 tu ametujengea ma fulayiova, mabalabala, standadigeji, ma stigilajoji, ametununulia madege tena yote hayo ameyafanya kwa pesa zetu za ndani bila ya kwenda kuwapigia magoti mabebelu halafu eti aje amwachie mtu mwingine atakaenda kujikombakomba kwa mabebelu yaya geeete ni bola andelee tu kutupa malaha na sisi tuendelee kumuunga mkono maana yeye ni laisi wa wanyonge.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Sio mchezo ndani ya miaka 3 tu ametujengea ma fulayiova, mabalabala, standadigeji, ma stigilajoji, ametununulia madege tena yote hayo ameyafanya kwa pesa zetu za ndani bila ya kwenda kuwapigia magoti mabebelu halafu eti aje amwachie mtu mwingine atakaenda kujikombakomba kwa mabebelu yaya geeete ni bola andelee tu kutupa malaha na sisi tuendelee kumuunga mkono maana yeye ni laisi wa wanyonge.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk


😂😂😂😂tena na juzi tu hapa tumepata eabasi...tuseme nini tena??watoto wanasoma bureeeee..ushindwe wewe kuzaa...mahospt dawa bwerereeee...mausha yamekuwa simple vubaya sana sana ...uchumi unakua kwa kasi nzuri the entire EA tunaongoza ss kwa kuexport ...haya huko ntwra kashafungua kiwanda cha kubangua koloxho..
kila mkoa sasa hv una viwanda sio chini ya 10..pwan tu hapo kuna viwanda zaid yaelfu 1...alafu mje mseme hakuna ajila!!shame on u!
haya ishu ya vikokokotoo kaielezea vizuri wastaafu sasa hv tutapeta tu ...
kawapa democrasia vyombo vya habari vikoso utawala wake...yaan ukishindwa kuishi Tz huwez ishi sehem yyt ile!

jehanum ndogo
 
tena na juzi tu hapa tumepata eabasi...tuseme nini tena??watoto wanasoma bureeeee..ushindwe wewe kuzaa...mahospt dawa bwerereeee...mausha yamekuwa simple vubaya sana sana ...uchumi unakua kwa kasi nzuri the entire EA tunaongoza ss kwa kuexport ...haya huko ntwra kashafungua kiwanda cha kubangua koloxho..
kila mkoa sasa hv una viwanda sio chini ya 10..pwan tu hapo kuna viwanda zaid yaelfu 1...alafu mje mseme hakuna ajila!!shame on u!
haya ishu ya vikokokotoo kaielezea vizuri wastaafu sasa hv tutapeta tu ...
kawapa democrasia vyombo vya habari vikoso utawala wake...yaan ukishindwa kuishi Tz huwez ishi sehem yyt ile!

jehanum ndogo
mama yaishe nimenyanyuajuu
Nisije nikaambiwa na mimi ni mpiga dili bureeeee

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
khaa mie ukuu wa wilaya ya uvinza sitak...labda anipe bukoba huko wilaya za katerero
jinga kabisa wewe
Ngoja nikupe idea dada yng maana sasa hv hata madanga ya maana hapa mjini hayapatikani.
Andaa kigurupu cha wamama kama 30 au zaidi jitolee kwenda kuprinti kanga halafu unaweka picha yake kubwaaa kwenye maandishi sasa andika ujumbe huu "Tunakushukuru baba umetutoa kwenye minyororo ya mabeberu"
Siku akija maana kampeni hazipo mbali mnatinga vitu vyenu Hlf wewe siku hio unatakiwa utinge kuanzia dera, mtandio, mpk skafu yenye huo ujumbe pia uwe na mashauzi kama yote yaani full kusifia na kushukur kwa mema aliyotufanyia ujitahidi akuone vizuri na ikiwezekana upeane nae mkono halafu umpe na yeye zawadi ya dera moja akampe mkewe.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
jinga kabisa wewe
Ngoja nikupe idea dada yng maana sasa hv hata madanga ya maana hapa mjini hayapatikani.
Andaa kigurupu cha wamama kama 30 au zaidi jitolee kwenda kuprinti kanga halafu unaweka picha yake kubwaaa kwenye maandishi sasa andika ujumbe huu "Tunakushukuru baba umetutoa kwenye minyororo ya mabeberu"
Siku akija maana kampeni hazipo mbali mnatinga vitu vyenu Hlf wewe siku hio unatakiwa utinge kuanzia dera, mtandio, mpk skafu yenye huo ujumbe pia uwe na mashauzi kama yote yaani full kusifia na kushukur kwa mema aliyotufanyia ujitahidi akuone vizuri na ikiwezekana upeane nae mkono halafu umpe na yeye zawadi ya dera moja akampe mkewe.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk


hahahahahahahahahahhaahhaa....nacheka mie...madanga yapo tu mkuu ukijibidisha kutafta unayapata😂😂😂😂... mm hayo nayaweza sana maana mm ukija ninapoishi wananiita msasambuaji..akija unasasqmbua kbs..jasho zikutoke..lazima upat ht uenyekiti wa mtaa😊😊!100%ya nguo zangu ni madera so sina la kupoteza...lol
 
Back
Top Bottom