Kwa yeyote mwenye matatizo ya figo nipo tayari kumpa figo langu moja

Dec 1, 2014
10
0
Naitwa Afredy, ni mtanzania nampenda Mungu. Natambua wapo watu wenye matatizo ya figo na wapo katika hali mbaya ya kupoteza maisha yao.

Nipo tayari kutoa figo langu moja ili kuokoa maisha kwa yeyote aliye katika hali mbaya ya kupoteza uhai namba yangu 0716284572.
 
wewe mleta uzi huu elewa kwamba huwezi toa figo yako ili uokoe maisha ya wengine.wewe ukibaki na figo moja unafikiri mwili wako utakuwa kamili kama wali.
sema labda unauza figo yako kwa matatizo ya fedha tu
ushauri wangu kwako-
1) mtafute ruge au chenge au sethi wana mijielaa ya escrow wapige mzinga watakupa mapene
 
wewe mleta uzi huu elewa kwamba huwezi toa figo yako ili uokoe maisha ya wengine.wewe ukibaki na figo moja unafikiri mwili wako utakuwa kamili kama wali.
sema labda unauza figo yako kwa matatizo ya fedha tu
ushauri wangu kwako-
1) mtafute ruge au chenge au sethi wana mijielaa ya escrow wapige mzinga watakupa mapene

Acha kuharibu biashara za watu mkuu Hahahaaaa bongo noma sana!!!!
 
Back
Top Bottom