Kwa wewe binti unaependa waume za watu!

Kwa wewe binti unaependa waume za watu!

Moyibi

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2012
Posts
1,054
Reaction score
702
Kwenu mabinti,kabla ya kutanua
miguu kwa wanaume waliooa
tafadhali soma hapa:
1. Kitu anachokitaka kwako ni sex tu.
Atakuja na kuondoka kurudi kwa mkewe
na familia yake.
2. Hawezi kumuacha mkewe na familia
yake kwa ajili ya wewe labda awe mbulula
wakuja
3. Ataonyesha anakupenda lakini
kumbuka hauko peke yako
4. Baada ya kukutumia atakuacha na
kumfuata mwingine
5. Na kamwe hutoweza kumfanyia lolote
zaidi ya kuwa hauna uhuru naye
6. Kumtegea mimba haitakuwa suluhu ya
yeye kukupenda bado anafamilia na
inamhitaji
7. Mali na fedha vyote ni vya yeye na
familia yake na wewe utaendelea kufaidi
chipsi kuku tu na kutoa huduma
8. Kamwe haupo katika mipango yake ya
baadaye
 
Mmmmh!
1. Kama ni sex, hata yeye atakuwa anahitaji mtu wa kumpa sex.
2. Utafiti umeonesha wapo tena wengi waliowaacha wake zao na kuhamia kwa mchepuko.
3. Kama anavyokuoneshamwewe kuwa anakupenda na kumbe hauko peke yako
4. Usikute ndio staili yake ya maisha kuwa na mwanaume mwingine kila baada ya muda fulani?!
5. Mwanaume anakurudia saa 9 alfajiri halafu unasema hana uhuru naye?!!
6. Siku hizi wakina dada wanapenda kuzaa na kutunza watoto wao bile bughudha ya wanaume
7. Mla mla leo. Akimpata wa chips mayai leo, kesho atampata wa gari na kesho kutwa atampata wa nyumba na kusomesha
Watoto wake, life goes on.
8. Nini bora, mipango ya baadae au ya sasa, maisha ni sasa, baadaye sio yake

sio kama naunga mkono michepuko, ila ndio ukweli wa maisha na ndio maana sisi wanaume hatuachi michepuko japo michepuko mingi ni aghali kuliko njia kuu
 
Mkuu ndio umeamua kutupeperushia njiwa wetu sio?
 
We kama mume anakuhudumia vizuri na watoto shukuru Mungu hayo ya michepuko usiyawazie ,wanaume wana siri sana na ningumu sana kuwagundua .mwanaume anaweza kumpenda mchepuko kuliko wewe ulioko ndani na akamfanyia maendeleo makubwa tu ,tena usiombe awe na mchepuko unaojua kula na kipofu .
 
kwani mkuu wewe ni me au ke?
 
Kwenu mabinti,kabla ya kutanua
miguu kwa wanaume waliooa
tafadhali soma hapa:
1. Kitu anachokitaka kwako ni sex tu.
Atakuja na kuondoka kurudi kwa mkewe
na familia yake.
2. Hawezi kumuacha mkewe na familia
yake kwa ajili ya wewe labda awe mbulula
wakuja
3. Ataonyesha anakupenda lakini
kumbuka hauko peke yako
4. Baada ya kukutumia atakuacha na
kumfuata mwingine
5. Na kamwe hutoweza kumfanyia lolote
zaidi ya kuwa hauna uhuru naye
6. Kumtegea mimba haitakuwa suluhu ya
yeye kukupenda bado anafamilia na
inamhitaji
7. Mali na fedha vyote ni vya yeye na
familia yake na wewe utaendelea kufaidi
chipsi kuku tu na kutoa huduma
8. Kamwe haupo katika mipango yake ya
baadaye

Nimeipenda
 
We kama mume anakuhudumia vizuri na watoto shukuru Mungu hayo ya michepuko usiyawazie ,wanaume wana siri sana na ningumu sana kuwagundua .mwanaume anaweza kumpenda mchepuko kuliko wewe ulioko ndani na akamfanyia maendeleo makubwa tu ,tena usiombe awe na mchepuko unaojua kula na kipofu .

We ndo umeongea points tena k
umeolewa wala usijione umefika nimeshuhudia ndoa za kanisani 3 michepuko wakiwin moja ya anko wangu since1997 kufkia 2002 akamuacha mkewe mchepuko hadi leo yupo.wanawake wengine mnaforce ndoa mwisho anakuoa unabaki km pambo tu na pete lako mwenzio anakula ujana!
 
Kwenu mabinti,kabla ya kutanua
miguu kwa wanaume waliooa
tafadhali soma hapa:
1. Kitu anachokitaka kwako ni sex tu.
Atakuja na kuondoka kurudi kwa mkewe
na familia yake.
2. Hawezi kumuacha mkewe na familia
yake kwa ajili ya wewe labda awe mbulula
wakuja
3. Ataonyesha anakupenda lakini
kumbuka hauko peke yako
4. Baada ya kukutumia atakuacha na
kumfuata mwingine
5. Na kamwe hutoweza kumfanyia lolote
zaidi ya kuwa hauna uhuru naye
6. Kumtegea mimba haitakuwa suluhu ya
yeye kukupenda bado anafamilia na
inamhitaji
7. Mali na fedha vyote ni vya yeye na
familia yake na wewe utaendelea kufaidi
chipsi kuku tu na kutoa huduma
8. Kamwe haupo katika mipango yake ya
baadaye

najua hayo yote ndo maana nipo nae....mume wa mtu hakupi stress....maisha yanakuwa rahis....ni maamuzi tu....
 
najua hayo yote ndo maana nipo nae....mume wa mtu hakupi stress....maisha yanakuwa rahis....ni maamuzi tu....
Unakuwa naye unapomuhitaji, kama ilivyo kwa mchepuko, mwanaume anakuwa naye anapomuhitaji. Njia kuu kubanana kama pichu na makalio
 
Unakuwa naye unapomuhitaji, kama ilivyo kwa mchepuko, mwanaume anakuwa naye anapomuhitaji. Njia kuu kubanana kama pichu na makalio

yan hushughulik..presure kwa mkewe..wew mkikutana hakuna ata ugomv...maisha ya aman ajabu......
 
Nikimhitaji anakuja muda huohuo nikitaka kitu napata bila mikwaruzo ananisikiliza kwa kila jambo miradi kanifungulia ya kutosha nikijiskia simtaki kwa mda ntamwambia nimekwenda kwa anti kusalimia sasa wewe unaejiita mke unaweza kuyafanya hayo au unalinda pete zako za kidole kwanza akiumwa utamuuguza mpaka apone ndio aje kwangu akiwa mzima aha ha ha ha michepuko cheza mbali nayo wewe.
 

Attachments

  • 1404513683921.jpg
    1404513683921.jpg
    77.8 KB · Views: 777
Wengi mnajifariji sana na hizi hadithi.Mume ni zaidi ya pesa,wakati mwingine nafasi yake hata kama unapesa vipi au kakufanyia makubwa kiasi gani lakin bado nafasi yake ni muhimu.Mfano kakujengea,kakuanzishia miradi,na gari juu je kwa nini hakukuoa wewe?VITA YA WASIOOLEWA NA WALIOOLEWA NI ENDELEVU!KUNDI LA 1 MBALI YA UWINGI WAKE LAKIN WAMESHINDWA!ZAIDI SISI WANAUME TUNAONEKANA BORA KULIKO W/KE.Huko tunakoenda kuzaa mtoto wakike ni nuksi!kwan utakuwa umezaa hawara/mchepuko/nyumba ndogo ya mwanaume mwenzio.
 
Unajua mwanaume anaeendekeza mchepuko naweza sema hajitambui kwasababu huyu mwanamke wa mchepuko sijui kama anastahili lawama zote kwani na yeye huenda alidanganywa toka siku ya kwanza so hasthili kulaumiwa hasa ukizingatia utamaduni wetu.
 
Back
Top Bottom