Kwa Wenye Vitambi tu!!!

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,932
Reaction score
30,045
1. Kitambi Mvurugo --
hiki kitambi kimekaa
kama O.
Kinapatikana kwa kula sana kitimoto.


2. Kitambi Mchuchumio --
Hiki kitambi kimekaa
kama
herufi D. Kinatokana na kula sana michemsho na
bia
za ofa.


3. Kitambi Mbonyeo --
Akivua shati kitovu
hakionekani. Hiki wanacho wala rushwa. Ila
akisimamishwa kazi kinaisha.


4. Kitambi Mtepeto --
Ni kitambi cha wastani
ambacho ukivaa nguo pana hakionekani.
kinasababishwa na kula mno
viporo.


5. Kitambi Mfumanio:
hiki mtu anakuwa hana
pesa ila
kitambi ni kutokana na minyoo na utapiamlo wa
ukubwani.


6. Kitambi Mtunguo:
Hiki wanacho sana wadada.
Kina
umbo la yai. Hiki kwa 'diet' hakitoki labda Kwa
Maombi tu.[h=5][/h]
 
Haahhaha duuu hii kali

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Naona kama umeacha kimoja,kitambi kinakuwa juu juu utafikiri mimba changa ! hicho ni kwa wale wapiga masanga za kienyeji (pombe za kienyeji zozote twende)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…