LEVEL
Senior Member
- Jul 4, 2013
- 195
- 51
kwa wale walio oa au wako kwenye ndoa na unaishi na mkeo una bed moja tu ndan kwako bt ikatokea umesafr umwemwacha mkeo nyumbani ukiwa safarini mamako mzazi anakutaarifu kua amepata safari yakuja mkoa unapoishi ww bt anaomba afikie kwako na ww una bed moja tu unalotumia na mkeo. 1. Je itafaa mkeo kutumia bed hilo kulala na mamako mzazi 2. Utamtafutia mama sehemu ya kulaa kipi ni sahihi waungwana