Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,353
Habarini wakuu!
Mimi ni kijana wa miaka 24 ,Naishi Mtwara kwa sasa.Ni kiziwi nilipata hili tatizo nikiwa darasa la pili mwaka 2003.
Nasikia na kuzungumza na mtu vizuri tukiwa jirani tukitazamana(facial language na lips movement)
Nimehitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2018 (GPA 3.7) pia nina cheti cha usimamizi wa biashara.
Tofauti na matarajio yangu jamii inaonekana kuwapuuza sana watu wenye ulemavu kiasi kwamba waajiri wengi huwa hawapo tayari kutuajiri hata kwa volunteer.
Binafsi nimezunguka huku na huko ila majibu ya waajiri wengi usipoangalia unaweza jifungia ndani ukaachana na kutafuta kazi au vibarua ni majibu makavu mno!
Kama kuna yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia mtaji au ajira yoyote naomba anisaidia na mungu atambariki.!
Mimi ni kijana wa miaka 24 ,Naishi Mtwara kwa sasa.Ni kiziwi nilipata hili tatizo nikiwa darasa la pili mwaka 2003.
Nasikia na kuzungumza na mtu vizuri tukiwa jirani tukitazamana(facial language na lips movement)
Nimehitimu mafunzo ya ualimu mwaka 2018 (GPA 3.7) pia nina cheti cha usimamizi wa biashara.
Tofauti na matarajio yangu jamii inaonekana kuwapuuza sana watu wenye ulemavu kiasi kwamba waajiri wengi huwa hawapo tayari kutuajiri hata kwa volunteer.
Binafsi nimezunguka huku na huko ila majibu ya waajiri wengi usipoangalia unaweza jifungia ndani ukaachana na kutafuta kazi au vibarua ni majibu makavu mno!
Kama kuna yeyote mwenye uwezo wa kunisaidia mtaji au ajira yoyote naomba anisaidia na mungu atambariki.!