Kwa
nini jambo baya likitokea znz watanganyika wanalipapia utafkiria
halijawahipo kutoke dunian ? Wakati UFIRAAUNI unaofanyika tanganyika
bilisi anauogopa. kwa mfano mauaji ya albino, mauaji ya vikongwe, wizi umehalalishwa, kula mizoga ya homa la bonde la ufa, chokoraa wanaongezeka, omba omba N.k.
nini jambo baya likitokea znz watanganyika wanalipapia utafkiria
halijawahipo kutoke dunian ? Wakati UFIRAAUNI unaofanyika tanganyika
bilisi anauogopa. kwa mfano mauaji ya albino, mauaji ya vikongwe, wizi umehalalishwa, kula mizoga ya homa la bonde la ufa, chokoraa wanaongezeka, omba omba N.k.