Kwa Wataalam wa hesabu

Mmmmh! wote mnao-support hayo majibu i don't think kama mnajua hesabu. huwezi kuandika x=y bila kusema sababu ya wewe ku-equate. kwa sisi wataalamu wa hesabu lazima useme let x=y, una assume ukimaanisha it is not true. kesho mtasema if men=women then man=woman, anyway huu ni uwanja wa jokes tuuu!
 


Mkuu hapo tumetumia lugha ya taifa "let" imetumika kama "kama". Soma vizuri ilivyoandikwa (kama x=y). Nna mashaka we si mathematicians.....hahahahahaha!
 
if x=y then at (x-y) is zero to both denominators that means 0/0 is an ambiguity so
your math is not realistic,maths doesnt work out like that men,you must be a non maths lover student i can guess!!
 

I saluuuute you!
Kamanda, kama mlikuwa kwenye Ngumi jamaa umempa Knock-out flat! Wewe nadhubuti kukuita 'A great Mathematician' nafikili na hakika umekula nondos za "Pure Maths" sio "BAM"
Hucingie kwenye chama chao hamna kitu.
 
Ngona nitoe mwongozo. tuna anza hapa;

kama x=y
2x-x = 2y - y
2x - 2y = x-y
2(x-y) = x - y
2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y) Kosa liko hapa, huwezi kugawanya kwa x-y wakati tayari umeshasema x=y au kwa maana nyingine x-y=0. number yoyote ikigawanywa sifuri (i.e z/0) is -infinity for all z less than zero, +infinity for all z greater than zero.

Therefore;
2 ≠ 1
 

Is logic synonymous to maths🙄? In logic world the characters (not the numbers!) named 2 and 1 can be equal😉.
 
Nafikiri Chrispin amesahau kuwa ukitaka ukweli wa "denominator equal to zero" basi unatakiwa utafute
lim (x-y)=?
(x-y)--->0
hapo mkuu utakuwa umekokotoa kiutu uzima.
Vinginevyo ..... hi hi hiiiiii! Maisha plus!
 
Nafikiri Chrispin amesahau kuwa ukitaka ukweli wa "denominator equal to zero" basi unatakiwa utafute
lim (x-y)=?
(x-y)--->0
hapo mkuu utakuwa umekokotoa kiutu uzima.
Vinginevyo ..... hi hi hiiiiii! Maisha plus!

Inaelekea mkuu na wewe hesabu hazikupigi chenga.... hahahahahah!
 

Nakubaliana na wewe, hesabu zina sheria zake, sio unakurupuka tuu,
Sawa jamaa kaasume, but from which condition? huwezi toa assumptions from unknown source. Mi nafikiri jamaa katoka HKL))
 
Sawa ,hivyo mkiwa wawili mkagaiwa shilingi tatu mgawane ,wewe chukua moja na mwenzako umpe mbili.😕
 

Umekiuka misingi ya hesabu. Denominator haitakiwi kuwa sawa na sifuri. Hivyo kuiweka (x-y) kwenye denominator ni makosa kwa sababu ni namba sawa. Ulichotakiwa ni kuendeleza tu:
2x-x = 2y-y
2x-2y = x - y
2(x-y) = x-y
2.0 = 0
0 = 0
 
Enzi hizo bana......

Enzi hizo makalkulesheni yalikuwa yanapigwa JF kama hatuna akili nzuri...

Hivi sasa ni kutafuta wachumba tu humu!
 
Hongereni, karibuni MATHEMATICAL ASSOCIATION OF TANZANIA.
 
enzi hizo bana......

Enzi hizo makalkulesheni yalikuwa yanapigwa jf kama hatuna akili nzuri...

Hivi sasa ni kutafuta wachumba tu humu!
tongozo kwa kenda mbele
 
hebu kokotoa makalkulesheni hapo bana, acha longolongo mingi!
mimi mkali babu sio hzo fiksi zako ulikuja nazo
ila kweli mlikuwa juu bwana
sasa hv ngono zembe imekuteka
 
Enzi hizo bana......

Enzi hizo makalkulesheni yalikuwa yanapigwa JF kama hatuna akili nzuri...

Hivi sasa ni kutafuta wachumba tu humu!

ha.lafu wengi ni dotcom wa jana na juzi ndo wanafanya jf inapungua mvuto
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…