Je unajua kuwa 2 = 1?
Wataalam wa hesabu tunasema kuwa kama x=y
basi 2x=2y
kwahiyo 2x-x = 2y-y si sawa?
Maana yake ni kuwa 2x-2y = x-y hapo hakuna ubishi naamini.
Hii ni sawa na kusema 2(x-y) = (x-y)
kwamba 2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y)
Na hiyo inathibitisha kuwa 2 = 1
Kwa wasiojua hesabu watabaki wanatoa mimacho, hawaelewi kitu halafu bahati mbaya watabisha!
Good Day Mathematicians!
Je unajua kuwa 2 = 1?
Wataalam wa hesabu tunasema kuwa kama x=y
basi 2x=2y
kwahiyo 2x-x = 2y-y si sawa?
Maana yake ni kuwa 2x-2y = x-y hapo hakuna ubishi naamini.
Hii ni sawa na kusema 2(x-y) = (x-y)
kwamba 2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y)
Na hiyo inathibitisha kuwa 2 = 1
Kwa wasiojua hesabu watabaki wanatoa mimacho, hawaelewi kitu halafu bahati mbaya watabisha!
Good Day Mathematicians!
Mkuu kuna tofauti gani kati ya hesabu na hisabati?
Je unajua kuwa 2 = 1?
Wataalam wa hesabu tunasema kuwa kama x=y
basi 2x=2y
kwahiyo 2x-x = 2y-y si sawa?
Maana yake ni kuwa 2x-2y = x-y hapo hakuna ubishi naamini.
Hii ni sawa na kusema 2(x-y) = (x-y)
kwamba 2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y)
Na hiyo inathibitisha kuwa 2 = 1
Kwa wasiojua hesabu watabaki wanatoa mimacho, hawaelewi kitu halafu bahati mbaya watabisha!
Good Day Mathematicians!
si kweli, hesabu huwa haziendi hivyo kama utakavyo wewe bali zina principal zake
kama x=y,
ukija hapa, 2x=2y, kwa nini umetumia mbili, vipi ikiwa tatu yaani 3x=3y
kwa hiyo 3x-x=3y-y
maana yake ni kuwa 3x-3y=x-y
hii ni sawa na kusema 3(x-y)=(x-y)
kwamba 3(x-y)/(x-y)=(x-y)/(x-y)
na hiyo inathibisha kuwa 3=1
HAYA WEWE UNAEJUA HESABU KANUSHA BAC
Je unajua kuwa 2 = 1?
Wataalam wa hesabu tunasema kuwa kama x=y
basi 2x=2y
kwahiyo 2x-x = 2y-y si sawa?
Maana yake ni kuwa 2x-2y = x-y hapo hakuna ubishi naamini.
Hii ni sawa na kusema 2(x-y) = (x-y)
kwamba 2(x-y)/(x-y) = (x-y)/(x-y)
Na hiyo inathibitisha kuwa 2 = 1
Kwa wasiojua hesabu watabaki wanatoa mimacho, hawaelewi kitu halafu bahati mbaya watabisha!
Good Day Mathematicians!
Hahahahahahahahahaa
Ni swali ambalo unaweza ukamuuliza mwanafunzi, wapi pana kosa! Ninaamini wewe unajuwa kosa lipo wapi. Kama unafahamu kuwa zero divide by zero can be certain number, depending to the nature of the numerator and denominator....kama ni zero gawanya kwa zero basi tunaweza kutumia L'Hospitals rule.
Kwanini nasema zero gawia zero? Ulipofika x-y/x-y; hi ni sawa na 0/0 maana x=y. Sasa ikiwa hiyo Never conclude kwamba ni 1.
Ninaamini nimeeleweka wapi palipo kufanya u-conclude kuwa jibu ni moja. Jiulize kwanini namba yoyote ukiigawa yenyewe kwa yenyewe jibu ni moja lakini 0 gawa kwa 0 si moja?
you got it all wrong!
First, number of angles in 2 can never be equal to number of angles in 1, which is the basis for having numbers.
Secondly, look if x=y then 2x=2y, that is correct, now
2x-x=2y-y also correct, but down here is where you went wrong
2x-2y =x-y ( this is incorrect) but rather 2x-2y=-y+x. Note that -x+y is not the same as y-x bse subtraction is not commutative , i.e 2-3 not same as 3-2 !
... Kama unafahamu kuwa zero divide by zero can be certain number, depending to the nature of the numerator and denominator....kama ni zero gawanya kwa zero basi tunaweza kutumia L'Hospitals rule.
Kwanini nasema zero gawia zero? Ulipofika x-y/x-y; hi ni sawa na 0/0 maana x=y. Sasa ikiwa hiyo Never conclude kwamba ni 1.
Ninaamini nimeeleweka wapi palipo kufanya u-conclude kuwa jibu ni moja. Jiulize kwanini namba yoyote ukiigawa yenyewe kwa yenyewe jibu ni moja lakini 0 gawa kwa 0 si moja?
Baba Mkubwa,
Zero divide by zero sidhani kama inawezi kuwa "a certain number depending on the nature of the numerator and denominator" hata siku moja. Hiyo "depending on" inakuja vipi tena wakati ushafahamu numerator ni zero na denomionator ni zero? Kitu chochote gawanya kwa zero ni undefined, au infinity, period. Haijalishi juu ya zero kuna nini. Alipofika x-y / x-y ilibidi apate undefined, mwisho. Hakuna cha L'Hospitals rule hapa, sidhani.
... na ukawa na 0/0; Utapata jibu kulinganya na nature ya numerator na denominator NA si moja kila siku.
Brother, hapo ndo nashindwa kukuelewa.
Tunajua kabisa tuna dili na sifuri gawanya kwa sifuri, numerator na denominator zote zinajulikana, sasa utasemaje tena "kulingana na nature ya numerator na denominator"? Nature si ushaijua kaka? Ambayo ni sifuri juu, sifuri chini, sivyo?
Before you try to calculate you have to understand this:
1. You are trying to verify two values that have completely different angles. Which is immaterial.
2. When you try to divide 2(x-y)=(x-y) the answer is always undefined because the form 0/0 is indeterminate form, whose division is immaterial (undefined) as above unless L'hospitals rule is applied. There are so many such forms. Thus the above ( i am not sure if the person is trying to prove, or verify or show) is quite untrue.