popiexo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 742
- 184
Najua ni tatizo la wengi
View attachment 70030
View attachment 70030
Najua ni tatizo la wengi
View attachment 70030
Ulitengeneza hela ya kutoshaAisee kweli huu ni matihani lakini kwa wengi mimi nishafahamu miaka 20 iliyopita na tulikwenda semina moja ya kiofisi Arusha karibu kikosi chote cha jamaa nilikuwa pekeyangu ninaye jua kufunga tai...... ilibidi nile 500 kila siku kwa anayetaka kufungiwa
Aisee kweli huu ni matihani lakini kwa wengi mimi nishafahamu miaka 20 iliyopita na tulikwenda semina moja ya kiofisi Arusha karibu kikosi chote cha jamaa nilikuwa pekeyangu ninaye jua kufunga tai...... ilibidi nile 500 kila siku kwa anayetaka kufungiwa
tai ndo mpango nzima sio uhuni uhuni. Kuna vile vitai vifupi sizipendi
Mimi tai zangu ni marufuku kufunguliwa hata kama zinafuliwa. Na sinunui tai ambayo haijafungwa.
Hiyo shule nenda MMU utakuta na wajuzi wa mambo hayo
Bwana harusi mmoja hapa juzi ameokolewa na mtoto wa shule hizi za academy