Wewe ni mwanaume umeoa, ni weekend, ulienda kazini, baada ya kutoka una miadi na totos unaamua ukutane naye nyumbani kwa mshikaji wako ambaye hajaoa, mnaenda mnafanya mambo yenu chumbani kwa mshkaj wako.
Kwakuwa ulitumia socks baada ya kumaliza unabeba ule uchafu ili ukautupe chooni bahati mbaya choo iko nje, wakati unaenda nje unakuta wapangaji wa mshkaji wako wamejaa uwani, na unaghaili kwenda.
Unarudi chumbani unaamua kumwaga njiti za kiberiti na kuweka ule uchafu wako kwenye kasha la kiberti na kukitia mfujkoni mwa shati. Mara unatinga home usiku unakuta wife amelala, kwakuwa umechoka unavua nguo unalala.
Asubuhi unaamka unakuta wife kaisha ondoka na kiberti mfukon hakuna nawe unaondoka, badaye anakuutmia msg kuwa mzgo wako katunza atakupa jioni. Je! Wewe ungefanyaje?
Kwakuwa ulitumia socks baada ya kumaliza unabeba ule uchafu ili ukautupe chooni bahati mbaya choo iko nje, wakati unaenda nje unakuta wapangaji wa mshkaji wako wamejaa uwani, na unaghaili kwenda.
Unarudi chumbani unaamua kumwaga njiti za kiberiti na kuweka ule uchafu wako kwenye kasha la kiberti na kukitia mfujkoni mwa shati. Mara unatinga home usiku unakuta wife amelala, kwakuwa umechoka unavua nguo unalala.
Asubuhi unaamka unakuta wife kaisha ondoka na kiberti mfukon hakuna nawe unaondoka, badaye anakuutmia msg kuwa mzgo wako katunza atakupa jioni. Je! Wewe ungefanyaje?