Kwa wanaume mliooa je! Wewe ungefanyaje?

Kwa wanaume mliooa je! Wewe ungefanyaje?

Mmmh kuba dada mmoja alikuwa na hekaheka na mmewe sana yani jamaa alikuwa wembe mbaya mpaka mke anamkuta kapaki gari eneo ambalo unajua kabisa hapa yupo anagegeda anachofanya mke anaandika karatasi then anabandika kwenye mlango wa gari ujumbe unasema mume wangu ukimaliza wahi kurudi nyumbani mapema jamaa akitoka anakutana nayo na nawahi kweli na anajua wife kapita hapa du.
 
Ukirudi jion akakuuliza unasema mlikuwa kwny semina mkapewa hizo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom