cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Umeniita somewhere kula lunch au vinywaji na shosti yangu, msiri wangu anaomba anipe kampani siwezi kumkatalia.
Na mwanaume kuniita lunch au vinywaji ina maana upo vizuri kipesa so si mbaya tukaja na mashosti.
Kwanza kuna faida ya kuja na mashosti wangu, ukalipa bili vizuri watanipongeza, wataniona nina bonge la mwanaume na watakuongea vizuri sana.
Tafuteni pesa muache kulalamika tukija na mashost wetu.
Na mwanaume kuniita lunch au vinywaji ina maana upo vizuri kipesa so si mbaya tukaja na mashosti.
Kwanza kuna faida ya kuja na mashosti wangu, ukalipa bili vizuri watanipongeza, wataniona nina bonge la mwanaume na watakuongea vizuri sana.
Tafuteni pesa muache kulalamika tukija na mashost wetu.