Kwa wanaume, epuka aina hizi za wanawake

Kwa wanaume, epuka aina hizi za wanawake

Suala la msikitini na kanisani si kigezo cha kukosa mke mwema au bora kwani msikiti au kanisa halina umuhimu wowote kwa mtu ajuaye mwenyezi Mungu. Mungu si dini na dini si Mungu. Acheni hili wazo la kipuuzi nyie waafrika, hatuhitaji kwenda msikitini au kanisani kuwa pure, we are pure already na Mungu anatupenda kama tulivyo because we are his creation na hajatuumba because of dini.
 
Mwanamme atakaefatisha huu uzi indeed atapotea. Doesn't make sense at all.

1. So mwanamke asiwe msomi?😕

2. Asiwe matawi hata kama kazaliwa kuzuri na haiwezi kufichika??

3. Asiombe hela? What nonsense is this?

4. Ukishawajua familia yake na ofisini then what?

5. Here we go again, watoto wa single parents watengwe.

No point reading till the end.


Huyo ni kijana wa kiislam aliyeandika hayo, usimshangae ila mpe pole tu.
 
Mwanamme atakaefatisha huu uzi indeed atapotea. Doesn't make sense at all.

1. So mwanamke asiwe msomi?😕

2. Asiwe matawi hata kama kazaliwa kuzuri na haiwezi kufichika??

3. Asiombe hela? What nonsense is this?

4. Ukishawajua familia yake na ofisini then what?

5. Here we go again, watoto wa single parents watengwe.

No point reading till the end.
mwanamke unatakiwa uwe na kiasi mengine tunavumiliana
 
Get the context of my message pls.

Kuwa na elimu sio mbaya kibaya Ni too much arrogance
2. Kama.ni matawi Hana haja ya kujionyeonyesha maana in the end atajulikana tu
3. Kwa Nini awe omba omba. Inatakiwa aombe akiwa mke lakini pia hamna sababu ya kuomba kwa mwanaume anayejua majukumu yake maana bajeti mnapanga pamoja kulingana na kipato chenu wote
4. Kiuhalisia single parenthood sio normal parenthood. Ni parenthood inayotokea sababu ya circumstances. Ikitokea basi mtu ajielewe kwamba inawezekana Kuna vitu akakosa sababu ya kulelewa na mmoja na awe tayari kujifunza. Sio tatizo as long amejielewewa na Yuko tayari kujifunza
Mwanamme atakaefatisha huu uzi indeed atapotea. Doesn't make sense at all.

1. So mwanamke asiwe msomi?😕

2. Asiwe matawi hata kama kazaliwa kuzuri na haiwezi kufichika??

3. Asiombe hela? What nonsense is this?

4. Ukishawajua familia yake na ofisini then what?

5. Here we go again, watoto wa single parents watengwe.

No point reading till the end.
 
Haya ndiyo yanafanya watu waanze kulia. Baada ya siku chache mtu anakuja jf na thread za kusalitiwa. Kumbuka gabbage in, gabbage out
Hizo sifa utazikuta kwenye midoli au vinyago vya kuchonga,...binafsi akijielewa tu mwanamke kwangu inatosha mengne mbele kwa mbele kama Ccm
 
Sasa hayo yote mbona ndo wanawake mnaowapenda siku hizi wako hivyo?
 
Hizo sifa zote hata sisi wanaume tunazo.

Hakuna binadamu aliyemkamilifu.

Oa kutokana na viwango vyako.
Viwango ndio hivyo na hivyo Ni vidogo kabisa sema "oa kutokana na maamuzi yako" lakini Kama Ni ishu ya viwango viangalie kwa umakini hivyo utagundua una vingi Sana vya kuongeza
 
Ukimuoa ukaona yuko tofauti mvumilie na umkanye.
Ukiona umeshindananaye kuachana kutahusika japo hata Mungu hapendi tuachane.
 
Wapo wazuri zaidi ya niliyosema hapo. Wapo humble,simple, innocent, honesty,obedient,wasomi na wa viwango vizuri,sema tunawaonaga Hawa wengine maana wanajua kujionyesha onyesha Sana kwa wasio makini. Lakini ukitulia kabisa na kumwomba mungu utajua kabisa Moshi hutangulia kuonekana lakini sio Moto. Ukiangalia vizuri utauona Moto uwakao na asali kamili sio Sega tu.sega huonekana ila asali huitaji umakini Sana. Jus sio kila Sega Ni asali
Sasa hayo yote mbona ndo wanawake mnaowapenda siku hizi wako hivyo?[/QUOT
 
Lakini nimejifunza kitu kwenye post yako hii. Kama wewe Ni mdada fuatilia Sana niliyoyasema utaona uhalisia

Lakini usijibu kwa haraka hata ukiwa na mmeo na hata watoto. Pata muda wa kutafakari kuelewa maana ya ujumbe ukiachia maana ya maneno pekee.
Jifunze unyenyekevu na utii. Utii Ni Bora kuliko mafuta ya beberu ambayo yanatawaza wafalme
Kama hamjaoana Wala kuchumbiana kuomba omba hela Ni kujidhalilisha na kujiweka duni na kujivua nguo mwenyewe
HayA Ni Mambo ya muhimu kweli
Mwanamme atakaefatisha huu uzi indeed atapotea. Doesn't make sense at all.

1. So mwanamke asiwe msomi?😕

2. Asiwe matawi hata kama kazaliwa kuzuri na haiwezi kufichika??

3. Asiombe hela? What nonsense is this?

4. Ukishawajua familia yake na ofisini then what?

5. Here we go again, watoto wa single parents watengwe.

No point reading till the end.
 
Mwanamke anayelala/tembea na marafiki wa kaka zake si mwanamke wa maana hata siku moja.
 
Una imani lakini Ni imani iliyopotoka.
Imani halisi haiwezi kupinga neno la Mungu. Kama Ni mkristo soma biblia utaelewa nafasi ya kanisa kwenye imani yako

Watu wa magharibi waliyapuuza haya. Wakaacha kwenda kanisani. Wakaacha maisha ya undugu. Sasa kilichobaki hamna wanachoamini zaidi ya kuchanganyikiwa. Ndio maana hawaoni Tena umuhimu was ndoa Wala familia.
Tanzania Ni nchi pekee inayothamini ndoa na mwanamke kwa kuwa na sheria nzuriya ndoa hata kuliko uingereza.

Pia imani Ni muhimu Sana ili kuondoa migongano isiyo na tija. Huku Ni afrika na huku tuna tamaduni zetu na taratibu zetu
Life without values and norms is a robotic life

Labda ziwe imani za kimagharibi Kama zinazoanzishwa na kina Beyonce na wengine
Suala la msikitini na kanisani si kigezo cha kukosa mke mwema au bora kwani msikiti au kanisa halina umuhimu wowote kwa mtu ajuaye mwenyezi Mungu. Mungu si dini na dini si Mungu. Acheni hili wazo la kipuuzi nyie waafrika, hatuhitaji kwenda msikitini au kanisani kuwa pure, we are pure already na Mungu anatupenda kama tulivyo because we are his creation na hajatuumba because of dini.
 
Back
Top Bottom