Kwa wanaotetea haki za wanawake hivi hamuyaoni haya?

Ohooo

JF-Expert Member
Jul 8, 2015
807
1,084
Nimekua nikijiuliza Mara nyingi hawa wanaotetea haki za wanawake wanalenga nini hasa! Mara nyingi wanaangalia mambo ya kisiasa na kiuchumi tu eti tuwe 50 kwa 50. Je hapo kweli ndo tutakua sawa?

Ebu tuangalie mambo machache haya. Vipi hili suala la wanawake kuvaa nusu uchi lakini hatusikii hao wanaharakati wakipinga? Je huko sio kumshusha zaidi huyo mwanamke?

Pia yapo mashindano kama ya ulimbwende hivi yana faida gani hasa kwa mwanamke na je, hadhalilishwi kwa hilo? Na vipi suala la kupiga mizinga kwa wanaume je hilo hamzungumzii ili lisiwafanye wawe dhaifu zaidi?

Michango yenu wadau.
 
Alikuwepo yule spika wa EALA,nadhani walimbafili,sijui kwa nini. Lakini wanawske lazima wakipewa cheo lazima waache uhuni.
 
Nimekua nikijiuliza Mara nyingi hawa wanaotetea haki za wanawake wanalenga nini hasa! Mara nyingi wanaangalia mambo ya kisiasa na kiuchumi tu eti tuwe 50 kwa 50. Je hapo kweli ndo tutakua sawa? Ebu tuangalie mambo machache haya. Vipi hili suala la wanawake kuvaa nusu uchi lakini hatusikii hao wanaharakati wakipinga? Je huko sio kumshusha zaidi huyo mwanamke? Pia yapo mashindano kama ya ulimbwende hivi yana faida gani hasa kwa mwanamke na je, hadhalilishwi kwa hilo? Na vipi suala la kupiga mizinga kwa wanaume je hilo hamzungumzii ili lisiwafanye wawe dhaifu zaidi? Michango yenu wadau.
kuvaa nusu uchi inaathiri nini uchumi wa nch? Mashndano ya umisi yanakuathiri nini? Mbona wanaume pia yapo? Na kama kuvaa nusu uchi na we vaa,mbona wanaume wapo wanavaa vest na kaptula hadi mjini? Unafkr sio nusu uchi? Au we unajua uchi ni papuchi tu?
 
Hili suala lina utata kidogo.Kwa mfano mwanamke wa kiislam kuachana kichwa wazi tu tayari yupo uchi.
Lakini pia kuna dhana ya ku appreciate uzuri wa mwanamke(mashindano ya urembo)
 
Eeh hivi dunia ya Leo bado watu wanajali mtu kavaa nini?umemnunulia wewe?akiwa uchi we inakuuma nn?mizinga hyo si mnatoa wenyewe mnashikiwaga bunduki?Leo ni siku ya wanawake..mwaaache wapumzike
 
There will never be a single day when north and South or West and East will mean the same thing. Comparing the universe with earth and claim the two are equal is an illusion. Similarly,the moon will never be of the same strength as the sun. There is binary opposite to everything and one must be lesser than the other so are women to men. Those advocating for equality in the name of political or social correctness are doing so for their own benefits. Women are used kama chambo tu.
 
Hili swala halina utata. Generation ya sasa ina kazi ya kufundisha generation inayofuata. Na hii ni kazi ya mwanamke anayelea watoto wakati bwana ameenda kazi,kuwafundisha wanawake na wanaume. Kazi yake huyu mwanamke kuwafundisha watoto kuwa madaktari,mainjinia,wanajeshi. Is this something she can do while she is wearing false eyelashes?
 
Eti ulimbwende unamkuta lundenga katoa macho aone uumbaji wa mungu yaani wanaowadhalilisha ni kwa ajili ya tamaa zao lakin wanawake wanaona kama wanatukuzwa kumbe akili hawana

New world order
 
Wanawake kuvaa nusu uchi hiyo ni passed by law. Binadamu ana huru ine

1. Huru ya itikadi ( Abudu chochote hata kama CCM)
2. Huru ya maoni (Toa oni lolote ,atakama unapendekeza viongozi wote wa serikali wavae kanga)
3. Huruya kumiliki (Miliki chochote hata biashara ya makahaba)
4. Huru binafsi ( Fanya lolote hata kuingia bungeni na msuli)
 
Pia ninekuwa nikijuliza vivyo hivyo kwani wanaharakati wengi huangalia zaidi kwenye mambo ya kiuchumi na kisiasa kwani nadhani ndio yenye nguvu zaidi lakini tukiangalia upande wa pili uvaaji ni tatizo kubwa. Wadada wameadhiriwa sana na utandawazi unaowapelekea wavae hovyo na hata ku-act hovyo hovyo.. mfano hivi karibuni kwenye mitandao ya kijamii kuona mdada anayejiita Giggy money na Lulu kugombania nani kalala na msanii wa Nigeria na kupelekea watu kutukanana instagram jambo ambalo linashusha utu wa mwanamke..pia hawa wanaojiita video queens ni hatari wanadhalilishwa sana kwenye videos ikiwemo mavazi wayatumiayo na namna wanavyofikisha ujumbe katika jamii ni picha mbaya sana. Yapo mengi sana ambayo nadhani wanaharakati wangewajenga wanawake mentally jambo ambalo wasingetumia nguvu kubwa sana kwenye mambo yahusuyo siasa na uchumi
 
Nimekua nikijiuliza Mara nyingi hawa wanaotetea haki za wanawake wanalenga nini hasa! Mara nyingi wanaangalia mambo ya kisiasa na kiuchumi tu eti tuwe 50 kwa 50. Je hapo kweli ndo tutakua sawa? Ebu tuangalie mambo machache haya. Vipi hili suala la wanawake kuvaa nusu uchi lakini hatusikii hao wanaharakati wakipinga? Je huko sio kumshusha zaidi huyo mwanamke? Pia yapo mashindano kama ya ulimbwende hivi yana faida gani hasa kwa mwanamke na je, hadhalilishwi kwa hilo? Na vipi suala la kupiga mizinga kwa wanaume je hilo hamzungumzii ili lisiwafanye wawe dhaifu zaidi? Michango yenu wadau.
Weka picha!
6b4723cd0a042144c982ed826b9e7499.jpg
 
Nimekua nikijiuliza Mara nyingi hawa wanaotetea haki za wanawake wanalenga nini hasa! Mara nyingi wanaangalia mambo ya kisiasa na kiuchumi tu eti tuwe 50 kwa 50. Je hapo kweli ndo tutakua sawa?

Ebu tuangalie mambo machache haya. Vipi hili suala la wanawake kuvaa nusu uchi lakini hatusikii hao wanaharakati wakipinga? Je huko sio kumshusha zaidi huyo mwanamke?

Pia yapo mashindano kama ya ulimbwende hivi yana faida gani hasa kwa mwanamke na je, hadhalilishwi kwa hilo? Na vipi suala la kupiga mizinga kwa wanaume je hilo hamzungumzii ili lisiwafanye wawe dhaifu zaidi?

Michango yenu wadau.
Lengo hasa nikuharibu ustaarabu wa dunia,nakuvunja amri za MUNGU mana wazungu wao wanajiona wanamamlaka na ulimwengu wote,na wanaweza kuiamasisha dunia ifanye watakavyo bila kuangalia misingi ya kiiman.Katika dini ya kiislam tumesistizwa mwanaume ndo mwenye sauti na ni kiongozi mkuu hata kama mwanamke anaelimu na mafanikio kiasi gani,Lakini wazungu wanatuharibi.
 
50 kwa 50 ilikuwa kivutio cha kupata kura ktk bunge ka katiba.Mwanamke ni zaidi ya hiyo 50/50..kama ulimsikiliza Sheikh Kundecha ktk bunge la katiba utaona hiyo 50 kwa wanawake ni uwongo.Makazini itakuwa chini ya 50 na nje ya kazini itakuwa juu ya 85.
 
kuvaa nusu uchi inaathiri nini uchumi wa nch? Mashndano ya umisi yanakuathiri nini? Mbona wanaume pia yapo? Na kama kuvaa nusu uchi na we vaa,mbona wanaume wapo wanavaa vest na kaptula hadi mjini? Unafkr sio nusu uchi? Au we unajua uchi ni papuchi tu?
Mkuu papuchi ndiyo nini?
 
Sijui hata ulikua unataka kusema nini na sisi tupate ujumbe gani toka kwenye bandiko lako.... kuvaa nusu uchi ni wanawake tu?
Mashindano ya ulimbwende mbona hata ya MR TANZANIA yapo?
Na hata kama ni udhalilishaji unahasara gani kwako na jamii kwa ujumla?
 
jaman wanawake nawasihi acheni ushabiki wakishetani najua sasa hamjui namaansha nn shetani kazi yake ni kuvunja maagano ya wanadamu na muumba wao zamani ilikuwa kama ukimlilia Mwenyezi MUNGU ni rahisi kuonana nae lakin si sasa nyie mliwekwa muwe wasaidizi wetu hilo ni Agano Takatifu hyo hamsini mtaipata kwa MUNGU itakavyompendeza ileeni dunia huku sisi tukiwahangaikia
 
Sijui hata ulikua unataka kusema nini na sisi tupate ujumbe gani toka kwenye bandiko lako.... kuvaa nusu uchi ni wanawake tu?
Mashindano ya ulimbwende mbona hata ya MR TANZANIA yapo?
Na hata kama ni udhalilishaji unahasara gani kwako na jamii kwa ujumla?
Mkuu una uhakika haina madhara katika jamii??? Sawa wanaume wanavaa vibaya pia hivi Mr na Miss Tanzania nani anadhalilishwa pale?? Ulishawahi ona mwanaume anatembea na chupi jukwaani?! Lakini wanawake wanatembea sana na bikini. Swala lingine kwenye hivi "vichupa" videos za wasanii angalia uvaaji wa video queens ujionee mambo halafu unabariki kabisa haina madhara?? Unless otherwise ni miongoni mwa hao hivyo unavutia kamba upande wako
 
Back
Top Bottom