Kwa wanaotarajia kuwekeza 2018 tu

Kwa wanaotarajia kuwekeza 2018 tu

Dr. Zaganza

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
1,588
Reaction score
2,427
Habari wakuu.
Tumeshuhudia kupata mtaji fedha imekuwa changamoto kubwa. Lakini pia, hakuna njia ya kuukuza mtaji kama hujawekeza kwenye mradi wowote. Hivyo Sisi Drones Online Ads tumekuwa kwa muda mrefu tukitoa taarifa sahihi za hali ya uchumi, biashara na masoko na ushauri BURE kwa wajasiriamali kabla hawajawekeza fedha zao popote walipo.

Offer ya taarifa sahihi: Kama unataka kuwekeza kwenye nyumba, basi wasiliana nasi tukupe taarifa wapi utampata kandarasi akujengee nyumba kama hii kwenye picha kwa milioni nane tu amabapo utalipa robo keshi,utakabidhiwa nyumba ndani ya miezi mitatu na kumalizia deni lilobaki ndani ya miaka mitano.

Kwa mradi wowote unaotaka tukukusanyie taarifa sahihi, wasiliana nasi

0713-039875
Meneja,
Drones Online Ads
 

Attachments

  • HOUSE VIGWAZA.jpeg
    HOUSE VIGWAZA.jpeg
    104.4 KB · Views: 50
  • HOUSE VIGWAZA.jpeg
    HOUSE VIGWAZA.jpeg
    104.4 KB · Views: 41
milioni nane mkuu??? Mkandarasi anapata faida gani?
 
Mbona kama utani?? Au anamaanisha hiyo milion Nane ndio malipo ya mkandarasi alafu unalipia ujenzi kukingana na ukadiriaji majezi utakavyo onesha???
 
Mkuu hyo mil8 ni nyumba ya vyumba ya vyumba vingap!? Na utaratibu wenu ukoje!? MF mm Nina kiwanja Moro vp mtakuja kunijengea!?
 
Back
Top Bottom